The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yule shehe atatuponza wenziwe!!!View attachment 691692 Toka asubuhi mambo huko insta yamekuwa wanaita ...hiviiiiiii ...Maana mwanadada anakuja na list ya wanawake waliotembea na mmoja ya viongozi wakubwa kidini tena akidai anawala mkundy bila ajizi .hivyo wakware wa mjini leo wako makini na list hii nasikitika kick ya Nabii tito ndo inaisha hivi
Yaani hadi show ya wasafi Mwembe yanga imefunikwa haiongelewi ,bila kusahau kiki ya Mzee Slaa nayo imebumaaa.
Watu tupo Shehe Tito tangu jana
[emoji23][emoji23]Yaani hadi show ya wasafi Mwembe yanga imefunikwa haiongelewi ,bila kusahau kiki ya Mzee Slaa nayo imebumaaa.
Watu tupo Shehe Tito tangu jana
hahaSerikali i invest kwenye technology mbona huyu mange twaweza mzima mazima tu na asirudi tena!
Hahaha hide my fekoro JF
View attachment 691692 Toka asubuhi mambo huko insta yamekuwa wanaita ...hiviiiiiii ...Maana mwanadada anakuja na list ya wanawake waliotembea na mmoja ya viongozi wakubwa kidini tena akidai anawala mkundy bila ajizi .hivyo wakware wa mjini leo wako makini na list hii nasikitika kick ya Nabii tito ndo inaisha hivi
Labda imebuma kwa misukule ya da'Mange....bila kusahau kiki ya Mzee Slaa nayo imebumaaa.
Watu tupo Shehe Tito tangu jana
😀Nadhani baada ya kutuambia kuwa Mange Kimambi anahatarisha Ndoa za Watu na Kuwadhalilisha Watu basi na Wewe pia ungekuja na ' supporting arguments ' zako ili uweze kutushawishi Sisi Great Thinkers ' tuliotukuka ' tukuamini kwa hizi shutuma zako / madai yako lakini bahati mbaya mno ni kwamba umekuja tu na ' umbea ' wako uliotusaidia Sisi kujua mapema uwezo wako wa IQ jinsi ulivyo mdogo kuliko hata ' punje ' ya mchele.
Nachukia kweli ' Mijitu ' ya ' hovyo hovyo ' iliyopo hapa duniani.