Mange anahatarisha ndoa za watu

Mange anahatarisha ndoa za watu

The only

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2011
Posts
10,805
Reaction score
14,181
maa.PNG
Toka asubuhi mambo huko insta yamekuwa wanaita ...hiviiiiiii ...Maana mwanadada anakuja na list ya wanawake waliotembea na mmoja ya viongozi wakubwa kidini tena akidai anawala mkundy bila ajizi .hivyo wakware wa mjini leo wako makini na list hii nasikitika kick ya Nabii tito ndo inaisha hivi
 
View attachment 691692 Toka asubuhi mambo huko insta yamekuwa wanaita ...hiviiiiiii ...Maana mwanadada anakuja na list ya wanawake waliotembea na mmoja ya viongozi wakubwa kidini tena akidai anawala mkundy bila ajizi .hivyo wakware wa mjini leo wako makini na list hii nasikitika kick ya Nabii tito ndo inaisha hivi
yule shehe atatuponza wenziwe!!!
 
View attachment 691692 Toka asubuhi mambo huko insta yamekuwa wanaita ...hiviiiiiii ...Maana mwanadada anakuja na list ya wanawake waliotembea na mmoja ya viongozi wakubwa kidini tena akidai anawala mkundy bila ajizi .hivyo wakware wa mjini leo wako makini na list hii nasikitika kick ya Nabii tito ndo inaisha hivi

Nadhani baada ya kutuambia kuwa Mange Kimambi anahatarisha Ndoa za Watu na Kuwadhalilisha Watu basi na Wewe pia ungekuja na ' supporting arguments ' zako ili uweze kutushawishi Sisi Great Thinkers ' tuliotukuka ' tukuamini kwa hizi shutuma zako / madai yako lakini bahati mbaya mno ni kwamba umekuja tu na ' umbea ' wako uliotusaidia Sisi kujua mapema uwezo wako wa IQ jinsi ulivyo mdogo kuliko hata ' punje ' ya mchele.

Nachukia kweli ' Mijitu ' ya ' hovyo hovyo ' iliyopo hapa duniani.
 
Wafuasi wa Mange kama kawaida yao, wapo katika ubora wao wa kuburuzwa... 😀 😀 😀

Huyu Mange unaweza ukadonwload picha ya mtu insta ukamtumia kisha ukasema kalala na huyo shehe, kisha mwambie ficha Id, yeye ataipost na kuongeza nyama (utafikiri anajua ukweli), na wafuasi wake utawaona wakishadidia wakifanywa wapumbavu.

Source haijulikani, Mtu mwenyewe anahadithiwa tu. imekuwa utakachomuhadithia kama ni negative for ccm basi yeye ataipost as if anaujua kinaga ubaga. Kuna wafuasi wake nlicheka sana siku wananambia eti Mange akitaka siri za mtu hakosi.... 😀 kawateka wajinga
 
Nadhani baada ya kutuambia kuwa Mange Kimambi anahatarisha Ndoa za Watu na Kuwadhalilisha Watu basi na Wewe pia ungekuja na ' supporting arguments ' zako ili uweze kutushawishi Sisi Great Thinkers ' tuliotukuka ' tukuamini kwa hizi shutuma zako / madai yako lakini bahati mbaya mno ni kwamba umekuja tu na ' umbea ' wako uliotusaidia Sisi kujua mapema uwezo wako wa IQ jinsi ulivyo mdogo kuliko hata ' punje ' ya mchele.

Nachukia kweli ' Mijitu ' ya ' hovyo hovyo ' iliyopo hapa duniani.
😀
Punje ya mchele...
 
Back
Top Bottom