Ray waniache
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 737
- 507
Malkia dadake na bashite
Bado anaendelea kutesa na kufunika instagram
Kutesa kwa zamu hii zamu ya mange kimambi
Namkubali sana anavyowarusha roho wale wa upande wa pili
Mange ametufumbua macho wengi sana ambao tulikua hatujui yafanyayo hapa tz
Watu wanamuelewa sana mange
Binafsi kwangu ndo kila kitu kinachonipeleka instagram ni yeye tu
Huyu dada mpaka nikahisi yupo CIA au FBI maana si kwa data zile
Team mange forever sasa lete fyokofyoko zako kwa mange uone tukavyotifua tifu na moto wako wa polepole maji makubwa utakua
Wamemshindwa mabashite's jeshi la mtu mmoja
Haki mange nakupendaga ww
Viva mange
NB😛ovu ruksa ila lisiwe la sabuni ya mkopo
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado anaendelea kutesa na kufunika instagram
Kutesa kwa zamu hii zamu ya mange kimambi
Namkubali sana anavyowarusha roho wale wa upande wa pili
Mange ametufumbua macho wengi sana ambao tulikua hatujui yafanyayo hapa tz
Watu wanamuelewa sana mange
Binafsi kwangu ndo kila kitu kinachonipeleka instagram ni yeye tu
Huyu dada mpaka nikahisi yupo CIA au FBI maana si kwa data zile
Team mange forever sasa lete fyokofyoko zako kwa mange uone tukavyotifua tifu na moto wako wa polepole maji makubwa utakua
Wamemshindwa mabashite's jeshi la mtu mmoja
Haki mange nakupendaga ww
Viva mange
NB😛ovu ruksa ila lisiwe la sabuni ya mkopo
Sent using Jamii Forums mobile app