laki si pesa.
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 10,003
- 9,755
teh teh teh swaiba umerudi?? Bado uko sisiem au nawe alipo EL ndio utaenda??
Ulikuwepo eneo la tukio, au ndio wote tuseme mana humu JF wote wajuaji kisha hamjioni kazi kusema ya wenzenu ya kwenu mmeyakalia. Mume wa Shamim ni drug Lord na anajulikana ht kwenye list ya majina waliotajwa na wafungwa wa China ametajwa.
Sababu wabongo mmezoea kusifia ujinga na hamtaki kuambiwa ukweli, mtu anauza unga na anamaliza vizazi vya Kutanzania, anajiamini na anadai nchi haina sheria eti mnamsifia amefanya vizuri mana hakutoa bastola. Mlikuwepo eneo la tukio au ndio sema usikike.
Halafu mnataka maendeleo, mmekalia umbea na kusifia ujinga ili muweke heshima mjini, badala ya kuondoa huo ujinga na ufusadi kwa mikono yenu miwili.
Mange ana matatizo yake, lakini hili la kukemea wauza madawa na kukemea ufusadu nilitegemea mngemuunga mkono lkn mmekuwa mbogo. Yani hadi huruma nyie mnaojiira wasomi wa JF.Ufisadi utaisha kwa kuwatukuza hao wanaowamaliza, hebu amkeni wa Tanzania na muanze kuwa ns fikra mana ni aibu
Bunge lijalo waheshiwa watapata mihemko na hata kugegedana ndani ya mjengo...maana professional prostitutes wanataka uMP.
alipo na sisi tupo
Duh kuna mtu instagram kashusha uchungu wa mtu mwenye mimba changa kutoka kwa mshtuko aliopata kukuta ameandikwa na Mange....
Kweli anavyo bully na kuchezea na kuumiza kisaikolojia amezidi sana
Wote tunafanya cyber bullying kwa namna moja au nyingine. Ni wangapi jukwaa la celebrity wanajadili mambo ya ndani kabisa ya kuumiza hisia za watu maarufu? Mange amekosea km wengi wetu tunavyokosea. Asiye na dhambi aendelee kumpiga mawe...
Tuzidi kuweka wazi mambo binafsi ya watu ila ipo siku tunaokushabikia/wanaonishabikia hawatakuwepo. Pia Kumbukeni kuna hesabu ya kila jambo utakapofika kwa Mungu wako liwe jema au baya.
kanatukana mno acha wakatie jampa jampa kwanza kalizidi, kama atakuwa mbunge atakuwa wabunge wa type ya Asha Ngedere.No no.......free our Mange pls........hope sio kweli.......
kanatukana mno acha wakatie jampa jampa kwanza kalizidi, kama atakuwa mbunge atakuwa wabunge wa type ya Asha Ngedere.
Mange ametoka kwa dhamana nilihisi baada ya kuona ID moja mpya imeingia humu kumtetea...lol
Thanks to mlezi wake.
Le mutuz nae karusha picha yupo kule live anatuletea breaking news
Katoto sa hizi kanajiuliza hivi mama yuko wapi?
Hii ndio tabu kuzaliwa na limama pumbavu km huyu.
Hii thread mbona inapungua page?
Kuna muda zilikuwa page 17 saa hizi naona 15! Ajabu
Mbona hajatishiwa bastola!
Au ulikua eneo la tukio?