Mange Kimambi ahojiwa na Jeshi la Polisi jijini Dar


Hawa madada wakitoka huko Nje maisha yakiwapiga,wanakuja humu kutafuta kiki. Asifikirie Jela za USA ni za Bongo
 
Ebwanaeeeh! i expect this,huyu mama mpaka hapa kaisha, haiwezekani utukane watu halafu ujilete huku eti ni nchi yangu siogopi lolote! Angebaki USA tu. Pole mange zigo hilo mpaka ulitue!
Yani alishazidi mno kuzalilisha watu kisa walikua marafiki basi kweli blog yake ilizidi Mara atukane watu, hvi akiambiwa apeleke ushahidi wa anayoandika anazo evidence kweli. Huwa simuelewi haogopi yoyote eeh huwa anaandika tu kuongea yenyewe ni kigugumizi.
Pole yake aache kuumiza wengine watamnyoosha bure.
 
Huyu angekuwa anaishi bongo sidhani kama angeweza kutukana watu hovyo,wangekuwa washamfanyia
 
Mange ni zao la malezi mabovu aliyopata..Mange kazaliwa na housegirl wa marehemu Kimambi.. kalelewa Tandika kwa mama yake maisha yake yote ..Mange alifukuzwa kuishi kwa babake na mtia nia Mwele alipoolewa na Mzee Kimambi kwa sababu ya tabia zake za jalalani..

Huyu ni wa kumfunga kabisa
 
Hii mibunge ya ccm mwaka huu vituko, Kwanini hivi viti maalumu visifutwe? Naona wabunge wengi wa hivi viti hawajitambui kabisa kupoteza pesa bila sababu ya msingi

Ili swala la viti maalum lifutwe tu..maana hao viti maalum hakuna wanachokifanya bungeni. Idadi ya wabunge imekuwa kubwa pale bungeni kinachofanyika hakionekani zaidi ya ujinga tu.

Wanawake wanaotaka ubunge nao wakajinadi majimboni ili waupate huo ubunge.Mi nakereka sana na swala la viti maalum
 
She is so wicked lock her away and throw the key in the middle of the ocean anakandia bongo alafu leo anautaka ubunge my foot
 
Hahaha hapo ukiongezea
Wema Sepetu
Shilole
Mange

Hapo sipati picha ya WABUNGE hao wakati wa Kempeni zao
Sio kampein tu , humo mjengoni wakati wakuchangia hoja iliyoletwa na Chadema, si yule dada yangu ataonekana profesa kabisa, hata yule mchawi ataonekana ana akili
 
Watia nia hao watata ni sawa na
Unajua Jeshi la Marekani huteua wanajeshi maalum wa kike kwa mafunzo ya muda mfupi,lengo ni kupoza mihemko ya makomando wao.

Sasa hao wengine mnaowasikia wakitaka kuingia mjengoni wanayao wanayofuata.
 
Pole Ila atatoka maana Ana back-up ya rizmoko na mzee wa msoga.
 
Jana, alifikia Kituo cha Polisi Oysterbay kuripoti tukio la yeye kutishiwa Bastola hadharani na Abdul Nsembo, Mume wa Fashionista maarufu, Shamim Nsembo wa 80/20 Fashion Blog..

Movie ndio kwaanza imeanza..

View attachment 268670

Hiyo ya kuhojiwa Oysterbay ni issue ya aliyokwenda kuripoti baada ya kutishiwa bastola na mume wa Shamim Mwasha, hii ya leo ni kuhusu mienendo ya mitandao ya kijamii kama ujuavyo siku za karibuni kagusa maslahi ya wanasiasa na kuwatukana mbaya.
 
Namchukia sana huyo dada..anapenda sana chokochoko na watu
usipende kuchukia watu bila kupata nafasi ya kuwafahamu au kuyaelewa kwa kina wanayoyazungumza au kuyaandika, jifunze kufikiri kwa mapana, utaishi kwa amani sana hapa duniani..chuki ikijaa moyoni unapata magonjwa pia, jali afya yako kwa kua na amni na watu muda wote.
 

Hata biblia inasema kuna wakati wa kufuraha na wakati wa huzuni...binadamu lazima awe na hisia,utakuwa zoba sasa kufurahia hata vitu.vinavyokera kama huyu dada ujapata kumfahamu tu..ni mjinga wa kutupa..
 
nahisi ana backup kubwa nyuma yake uyu kwa maneno anayotoaga kwene blog yake si kawaida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…