Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama alikuwa anataka kuonesha upambanaji wake angerudi bongo atafute evidence then aende polisi akawashtaki na si kutema povu nyuma ya keyboard alafu anajifanya mpambanaji..
Huyu demu ni fake sana na mwongo mwongo mno.. tunaomjua vizuri hatuwezi kushabikia upumbavu wake. Teh teh huyu demu anaweza kuwa ndie mtanzania pekee aliyafanya masters uarabuni.. hahaha Uarabuni sikuhizi kuna shule nako eti
Wote tunafanya cyber bullying kwa namna moja au nyingine. Ni wangapi jukwaa la celebrity wanajadili mambo ya ndani kabisa ya kuumiza hisia za watu maarufu? Mange amekosea km wengi wetu tunavyokosea. Asiye na dhambi aendelee kumpiga mawe...
Tuzidi kuweka wazi mambo binafsi ya watu ila ipo siku tunaokushabikia/wanaonishabikia hawatakuwepo. Pia Kumbukeni kuna hesabu ya kila jambo utakapofika kwa Mungu wako liwe jema au baya.
Mange ametoka kwa dhamana nilihisi baada ya kuona ID moja mpya imeingia humu kumtetea...lol
Thanks to mlezi wake.
Le mutuz nae karusha picha yupo kule live anatuletea breaking news
hahahaaaa...dah ama kweli mla nawe..hafi nawee
jinsi wanavyonshabikia na fake id zao sasaaa hahaaa
marichui,koku na wengineo kamtoeni bosi wenu lupango jamanii
we boya Mungu anaruhusu kutukana?Mange is a threat to most famous people who want to make a shortcut rich and famous life, simple like that! Am glad she is out... pole sana mumie Mungu yu upande wako
Mange is a threat to most famous people who want to make a shortcut rich and famous life, simple like that! Am glad she is out... pole sana mumie Mungu yu upande wako
Mange is a threat to most famous people who want to make a shortcut rich and famous life, simple like that! Am glad she is out... pole sana mumie Mungu yu upande wako
huyu anasumbuliwa na wivu mkubwa mno.angekua anamsema kilamtu ambaye anashiriki ktk hiyo biashara ningemwona mzuri.tatizo Anawatukana wale ambao anaugomvi nao tu.kwa Yale matusi hapana kuna njia nzuri ya kufikisha ujumbe lakini sio kivile.nashangaa watu ambao bado Wako close nae.huyu ni wakukaa nae mbali.ni bomu ambalo muda wowote linalipukaWewe utakuwa ni mgonjwa mwenzie wa akili, hivi unamuina huyi boss wako mzima kweli? Mtu katangaza kakosana na watu zaidi 30 tena kwa maandishi yake mwenyewe na yeye anawaanika hao watu kisa ana blog? Yani naomba wote alowatukana wamshitaki ili afungwe kabisa! Kafanya watoto wadogo waige tabia za kutukana watu mtandaoni wakijua mbina Mange anatukana na hakuna wa kumfanya lolote, halafu anaenda kuchukua form za kugimbea ubunge kupitia chama ambacho kamtukana hadi mh raisi ambaye yupo kwenye chama hicho hicho kweli kuwa na degree sio kuwa intelligent.
watu mishipa imewakaa, chuki zimewajaa, ukirusha mawe angalia kwanza kama nawe unaish ya vioo au la!
#supportmange
#supportfreedomofspeech
Master za kule ndio zimejenga huo mji dubai. Huwezi kuzilinganisha na za mzumbe au st. Nanihii.
Ni kiboko ya mafisadi na wauza unga. Yeye nyeupe huita nyeupe tu....haiegeuzi kuwa njano
Mange ni zao la malezi mabovu aliyopata..Mange kazaliwa na housegirl wa marehemu Kimambi.. kalelewa Tandika kwa mama yake maisha yake yote ..Mange alifukuzwa kuishi kwa babake na mtia nia Mwele alipoolewa na Mzee Kimambi kwa sababu ya tabia zake za jalalani..
Huyu ni wa kumfunga kabisa
duh mkuu wewe ni mwanamke kweli? Huoni kama unadhalilisha wanawake wote including you. Maneno mengine sio ya kuyaandika public hivi aseee...
teh teh teh karibuni UKAWA.. huyo demu nasikia alimtukana sana boss EL kwenye mitandao