Mange kimambi amlipua tena Diamond shutuma za kudhulumu gari

Sawa dada kama unakojoa shukuru maana wanawake wengi siku hizi hawakojoleshwi
 
Yan mange yule huo muda anaochamba angetafuta tu kazi ya kufanya. Mwanamke muda wote mtandaoni anasema watu. Google yenyewe kuna wakati inakosa majibu sembuse mange.
Ni mpumbavu wa kutupwa
Mwenzio yupo kazini

Je wewe hapa kumdiss umelipwa ngapi? Maana mwenzio anaingiza

invest what you are willing to loose
 
Alivyopauka vile hizo hela angeenda kununua mafuta ya korie apake,kakondeana maskini hadi huruma,sura imempalama utadhan ana utapiamlo
Embu weka yako tuone?
Na muache kumfollow sio mnaleta unafki na kumfollow mnamfollow

invest what you are willing to loose
 
Nini sura hata umbo nakuonyesha

Shosti sio kila mtu yupo insta bibie mambo yote google na JF kila kitu tunapata

Embu weka yako tuone?
Na muache kumfollow sio mnaleta unafki na kumfollow mnamfollow

invest what you are willing to loose
 
Kwa hiyo ukishamfuatilia huyo binti kahaba na kupost ujinga wake humu, ndio na wewe unapata maendeleo or?
 
Asante kwa kunishtua maana nilikua naingia PM sasa ivi

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
Si unamsabahi tu...teh..kwani wanaume hamfatani pm kuongea mambo yenu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…