Mange kimambi amlipua tena Diamond shutuma za kudhulumu gari

Mange kimambi amlipua tena Diamond shutuma za kudhulumu gari

Sijawahi kumuamini mange.
Kama karanga sio za diamond ni za nani?
Diamond ametanga fursa,ananunua karanga mpaka tani 100 kwa mwezi,ajabu watu wanatoa mishipa ya shingo kukazania kuwa sio zake.
Huyo mjane namshauri kama anaona kadhulumiwa afungue kesi mahakamani kama ni kweli
 
Nimezidiwaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata wewe utakua NA low IQ ? kwani unapataje taarifa zake kama sio kwenye mitandao? Unazingua sana mkuu!
Huyu binti anawaweka vijana bize ktk mitandao ya kijamii wanashindwa hata kufanya kazi na ninachosikitika hata magazeti yetu nayo yanamchukulia kama chanzo cha habari. Asilimia kubwa wanaomfuatilia huyu binti wengi wao wavivu wa kufikiri, hawapendi kujishughulisha kutwa kusubiri leo atapost nini,wengi wao ni low IQ. Haiwezakani kila kitu anajua yy siasa, uchumi mpaka maisha binafsi ya familia za watu yaani kwa kifupi chuki zimemjaa moyoni mpaka mungu anashindwa kumbariki na ashukuru ameolewa na mzungu lkn kama angeolewa na mbongo sasa angekuwa tayari kilema, kwa kauli zake mbovu. Ila ninachosikitika zaidi mdogo wangu ni mmoja wa wafuasi wake, yaani amekuwa mvivu, mmbeya kwa kifupi hana mda wa kuyatafakari maisha yake, yy kila sawa na simu mpaka najuta kumnunulia simu, kila mara yupo instagram kwa huyo mange, sasa sijui labda anatoaga ela au huo uzushi wake ndio anaupenda.Nitasikitika zaidi kama Kuna watoto wa kiume nao wanamfuatilia huyu binti, basi nitakuwa na wasi wasi na ulijali wao.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu binti anawaweka vijana bize ktk mitandao ya kijamii wanashindwa hata kufanya kazi na ninachosikitika hata magazeti yetu nayo yanamchukulia kama chanzo cha habari. Asilimia kubwa wanaomfuatilia huyu binti wengi wao wavivu wa kufikiri, hawapendi kujishughulisha kutwa kusubiri leo atapost nini,wengi wao ni low IQ. Haiwezakani kila kitu anajua yy siasa, uchumi mpaka maisha binafsi ya familia za watu yaani kwa kifupi chuki zimemjaa moyoni mpaka mungu anashindwa kumbariki na ashukuru ameolewa na mzungu lkn kama angeolewa na mbongo sasa angekuwa tayari kilema, kwa kauli zake mbovu. Ila ninachosikitika zaidi mdogo wangu ni mmoja wa wafuasi wake, yaani amekuwa mvivu, mmbeya kwa kifupi hana mda wa kuyatafakari maisha yake, yy kila sawa na simu mpaka najuta kumnunulia simu, kila mara yupo instagram kwa huyo mange, sasa sijui labda anatoaga ela au huo uzushi wake ndio anaupenda.Nitasikitika zaidi kama Kuna watoto wa kiume nao wanamfuatilia huyu binti, basi nitakuwa na wasi wasi na ulijali wao.
Mbona alishaachana na mzungu siku nyingi
 
Hizo karanga mbona zinajieleza zenyewe kuwa ni za kampuni ya smart, nashaanga wabongo mnavyomuita diamond muuza karanga wakat yeye ni advertiser tu
Isitoshe hapo diamond anaingiza ela nzuri tu kwa kuzitangaza.Alafu wao wamekaa kumsema huku yeye anatengeneza pesa.Sishangai dogo kuwa na mafanikio aliyonayo sasa.
 
Mookiesbad98 mkuu ebu finguka...ilikuwaje?
Baba yake mange Kimambi, Marehemu Jumanne Abdala Kimambi, mjasiriamali Contractor wa ujenzi, alikuwa na hulka ya kupenda warembo, Akiwa katika shughuli zake za Ujenzi wa Veta Kigoma akapenda mrembo wa kirundi mke wa mtu na huku akijiweka urafiki na mume wa huyo mwanamke, Hatimaye kwa kutumia fedha zake akatembea na huyo mke wa rafiki yake, kilichomkuta kigoma ni uharo na kugegedwa na kuchukuliwa video ilyompelekea kujipiga risasi mbezi afrikana. Maana wanaume walimsuuza jando. Mwanae anatukana watu wengi bila kujua ni Spirit of his fore fathers inamuandama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom