Mange kimambi amlipua tena Diamond shutuma za kudhulumu gari

Kama aliyeleta Post Hii ya Mamge Hapa ni Mwanaume basi anapumuliwa
 
Sio kweli. Mambo mengi anayoongea yanakuja kuanikwa baadaye... Umefanya research gani na kujua wote wanaomfollow ni wavivu?
Wivu wa kike huo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 


kwan anayosema ni uongooooo?? serikali ishakanusha ata siku moja??? ushaid anaoutoa mwingne nyaraka za serikali tena za siri ni za uongo?? serikali ishawah kukanusha???
Mange anawaumiza kichwa mnaishia tu kumwita kichaa ila kiukwel sindano zake zinawaingia vizuriiii
 
Mange kachanganyikiwa na maisha, mzungu keshampiga chini zamani anategemea child support kwahiyo kwake watu wenye mafanikio ni maadui zake,Mange alikuwa Enzi zile marafiki zake wakina Mwamvita Makamba na Enzi za Blog ya Uturn saa hizi kwisha Habari yake kabaki kuruka ruka kama pop corn kwenye sufuria Hana pakushika Mara Zari,Mara Diamond, Mara Makonda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahah daaaa

usisahau vya kusahau kabla kusahau hAkujakusahau wewe uliye sahau
 

Kwendaaaa we unalipi jipya zaidi ya kuuza tigo huko uwanja wa fisi ,shubamitiiiiiii
 
Point.

Na hilo gazeti aliloshusha sasa. [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Simpi Kiki kunguni wa mwendokasi
 
Domo mshamba kujihusisha na Bashite jitu limekulia Kolomije...downfall
 
This gal ana matatizi ya hating people.....ni intellingent however analo tatizo hioi ambalo kutibika kwake ni kioata mapenzi , yaani mtu atokee ampende sana na kwa sasa hana so anamyukana kila mtu hata hawajawahi kuonana ...ni hater haya ni maradhi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…