Freelancer
JF-Expert Member
- Sep 22, 2008
- 2,965
- 2,147
christmas ameomba sababu za kwako wewe na sio za hao wengine unaosema eti kuna nyuzi kibao. Taja sababu zako wewe.
huyu dogo kama sikosei alisema hataki tena tuzo maana kabati lake la tuzo limeshajaa... mambo mengine unafanya asubihi jioni unajuta... akikaa kimya itamsaidia si kila kitu lazima ujibu
Vote for diamond
Diamond alikuambia au ulisikia watu wanasema?
Ha ha ha wala hajui kama alisikia au aliambiwa, au alisoma mahali....mjusi kwenye msafara ba kenge lolHaaaaa hata hana uhakika na alichokiandika....
Hajielewi jina lake linafanana na matendo yake mpika sumu huyo, eti mtu kanituma mfyuuuu akafie huko kwenye sever za jfhhheeee ule Uzi wa zingifuri ulifungwaa maana sikuweza kukoment
hhheeee ule Uzi wa zingifuri ulifungwaa maana sikuweza kukoment
hhheeee ule Uzi wa zingifuri ulifungwaa maana sikuweza kukoment
Na maembe mabichi ale...yanapunguza kichefuchefu
mbona nimekuonako na nimeendelea kuweka upo humu humu
huyu dogo kama sikosei alisema hataki tena tuzo maana kabati lake la tuzo limeshajaa... mambo mengine unafanya asubihi jioni unajuta... akikaa kimya itamsaidia si kila kitu lazima ujibu