Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Si ndo maana tunafanya colabo tumpige chini diamond kwenye tuzo, wanawake wa tz na wanaume wa ug kwa pamoja tumedhalilishwa ha ha haTeh Teh na sisi wanaume wa Uganda tumekerwa na kitendo cha Diamond kumchukua mwanamke wetu bado tunajiuliza kwani huko Tanzania hakuna wanawake! Sasa hasira zetu ............