Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,188
- 3,370
vuta kipisi pale central utajua kama kutumia ni makosa au la??Hivi kutumia madawa ya kulevya ni makosa kisheria?
Na kama anasemekana anauza amekutwa na uthibisho?
Mtu anaitwa kuhojiwa kwa tuhuma za kutumia madawa ya kulevya? Like serious?
Hata wale madon wa unga huwezi kuwaita kuwahoji kisha ukawatia hatiani bila uthibitisho.
Makonda hajui anachokifanya
Period
Nilitaka kuuliza swali hilo hilo.Kwa kweli Hilo jipya.Mkuu kwani AY naye ni zungu?
Nawatalipa mno wasipokua makiniSerikali yenyewe inaogopa kusimama kizimbani na hawa watu maana isipokuja na ushahidi wa kutosha lazima walipe hao wanaotuhumiwa.
Nenda Facebook mtupie tusi la kiushikaji.Bila shaka utamjua Kimambi ni nani.Sijawahi kumwelewa Mange Kimambi ni nani hasa, nisaidieni mnaomfahamu.
Yupo sahihi out of moralHivi yule rais anaowaua wauzaji Na watumiaji Wa madawa anakosea au yupo sahihi?.
Ukiwa unavuta kipisi mbele ya central utakamatwa na kosa la kukutwa na madawa ambacho ni hicho kipisi unachovutavuta kipisi pale central utajua kama kutumia ni makosa au la??
Jee na hiyo misokoto ya bangi iliyokutwa nyumbani kwake?????????????Mwanadada maarufu mitandaoni, Mange Kimambi, ameyaandika yafuatayo kwenye ukurasa wake wa Instagram kufuatia sakata la Wema Sepetu kuitwa Polisi na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda kutoa maelezo kuhusiana na tuhuma za kujihusisha na dawa za kulevya.
Mkuu wananchi tunaomba uchukue kesi ya Wema probono.
Tena sio kumtoa ndani tu, tunaomba umfunze Makonda adabu by during him and the city for defamation wamlipe Wema mabilioni kama Yale Togo waliambiwa walipe....
Please please Albert tunaomba, Wema kutoka ndani sio solution kabisa, wameshamwalibia maisha yake, hawezi kufanya Kazi na kampuni yoyote ile kubwa,
Please please tunakuomba au kama vipi tujichange tukulipe".
Hadi sasa wasanii walioitwa kuhojiwa bado wanashikiliwa na jeshi la polisi. Wasanii hao ni pamoja na TID, Nyandu Toz, Recho, Babuu wa Kitaa na wengineo..
Hata alipompiga warioba waliweka usawa wazee na vijana. Big up MakpndaHapo ndo nachoka kabisa tena unaona hadi member wa humu waliokuwa na heshima zao kama @ASOKONI kashupalia hatari kumlilia mtuhumiwa.
Najiuliza hawa watuhumiwa nao wakiitwa polisi watapata ruhusa ya kupita mlango wa nyuma? Why wanataka iwe special kwa huyu dada kupitishwa mlango wa nyuma.
Mara nyingi huwa nakerwa na maamuzi na matamko ya makonda lakini kwenye hili kwa mara ya kwanza nakubaliana naye.
Nasema tena kwenye hili nampongeza kwa kuweka usawa
Hata alipompiga Warioba alikua anaplay safe. What a joke!!Itakuwa anatafuta starting point ya kuwakamata mapapa.....next week atawaita akisema wametajwa na baadhi ya wasanii waliokamatwa week iliyopita,he wants to play safe, it's like defence mechanisms towards watuhumiwa nguri watakaotajwa next time "ni mawazo yangu tu"
Watu ni kweli wana akili lakini sio huyo Makonda. Alimpiga Warioba na alifunga viatu vya riz1.Kwan Makonda ndio anawahoji??? [emoji23] [emoji23] Drug abuser n yeyote yule, anae uza, sambaza na mtumiaj.. hilo n moja.. pili ukimkamata mmoja kati ya yeyote, n mwanzo wa kutatua tatizo... Mtuamiaj atamtaja anae muuzia, muuzaj atasema anayapata wap, hvyo hvyo mpk chain inafika mwsho, usije dhan watu hawana akil, ama wamekurupuka tu, usije dhan hivyo kabisa... Naona IGP nae kaunga mkono... kaungana na Makonda
hahahahaaaaaWakati mwingine sawa tunamuelewa. LAKINI wakati flani flani anakuwa kama amerukwa na akili kidogo. Saikolojia inatambua kwamba: Mtu anayeandika maneno mengi kama anaongea au anaandika yote anayoongea ana walakini kwenye akili yake.
Mange kimambi mnafiki mkubwa huyu, anawang'ong'a watanzania kwa kujifanya na mahaba ya upande fulan katika jamii. Huyu mtu ndie aliesababisha wema kufungwa na hao wengineo, msijimix kumpa sir zenu huyu mtu ni USALAMA kitambo, misheni yake aliopewa ndo hyo anayoifanyaga.....Muogopeni huyu mtu anawachota akili tu. Sina mengi mie.....