Mange Kimambi aumbuka peupeeeee


Una sh ngapi kwenye simu yako tuanzie hapo kwanza.
 
We hujui lakini yeye ana followers zaidi ya milioni wanaomjua! Labda wewe ndio "nani"
Uwa nashindwa kupata jibu mtu mwenye akili timamu unaweza kumfollow Mange kimambi,kumbe walio wengi ndo wale wanatafutwa na Makonda.
 
Huu ni mda mzuri sana wa dudu baya kuachia wimbo
 
Ukitaka kupata ushahidi wa IQ za wabongo ni kwa mambo kama haya
 
Asante kwa kulikumbushia hili yetu macho asipokufa Alhad imekula kwake kunauwezekano akafa yeye mwenyewe kwa matusi na vichambo atakavyopewa.
Ngoja tuone hizo siku 5 zilizobaki tuuone mwisho wa mange kuongea na kuandika!!
 
Reactions: J C
Hahahahaaaaa bongo bana sijui ilikuaje nikazaliwa kwenye hii inchi
Si minyege nyege ya waliokuleta ... ungewaambia wasubiri kwanza tz hapatokuwa salama kwa ustawi wa maisha yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…