Mange Kimambi, Diamond Platinumz, Ali Kiba; Sijawahi kuwafollow watu hawa

Kwaio hao akina Diamond,Ali Kiba na wengineo wanakufollow wewe apo sio?
 
Unafosi maisha yangu yafanane na yako ili iweje labda?!
Pambana na hali yako Bro
Hao celeb was marekani nimetolea mfano hapa kwasababu wengi mnawafahamu ningewataja msiowafahamu ingekuwa kesi kabisaa kifupi hatufanani kimaisha pole sana



Mshamba wewe nani ambaye hajaishi Marekani, sija wahi ona mtu wa maana akasema tunaoongelea celebrities, wewe ni mshamba tuu utakua .
 
I 100% AGREE WITH YOU....
 
Dada zake Kisandu wameanza kuibuka kwa kasi
 
Hamna we mjinga mjinga tu sema hao wanao kutag nadhani uwezo wa kung'amua mambo ni mdg...huna uwezo mkubwa huo ndo ukweli[emoji2][emoji2]
 
Honestly hapa duniani mitandao ya kijamii yenye mashiko kwenye akili yangu ni jamii forum, whatsap kwa vile iko personal komtindo na twitter tu hiyo mingine naona ni taka tu kwangu na nnao wa follow wote hasa twitter ni wale master mind na ambao wako verified tu kama real donald trump mzee wa shithole , hahaha
 
Sasa mbna Leo umewaongelea huo muda umetoa wapi
 
Ukim discuss jayz,Beyonce,Janeth Jackson wanakuongezea Nini ? Au unajifunza Nini kutoka kwao ?
Ndo hapo sasa......
Huu si ndo wanasemaga uli...mb..keni au....yaani mtu anajisifia kumdiscuss Janeth Jackson....duuh...kweli tunasafari ndefu sana watu weusi wa bara la Africa..
 
Kasome Google Bro unakuwa mbishi umesomaa,!?
Nikusaidie andika 50 cent on making power series profit margin
ah ah so mwenyewe ukishinda google wajua yoote ah ah eti 50 cent making 3 trillion..kuna usemi ukitaka jua upumbavu wa mtu mwache afungue mdomo
Ndo hapo sasa......
Huu si ndo wanasemaga uli...mb..keni au....yaani mtu anajisifia kumdiscuss Janeth Jackson....duuh...kweli tunasafari ndefu sana watu weusi wa bara la Africa..
eh eh bob marley alise "EMANCIPATE YOURSELF FROM MENTAL SLAVELY NO ONE BUT OURSELF CAN FREE OUR MIND" TRUMP akaita hizi tabia "SHITHOLE " Ni ile kuona vyako vya kishenzi na vya nje ndo vya maana wakati hao so called celebrity hata huko kwao bado wanaonekana niggers tu "LOWLIVES" mablack american wenyewe kila siku wanaangaika jifunza tamaduni za africa
 
Mshamba wewe nani ambaye hajaishi Marekani, sija wahi ona mtu wa maana akasema tunaoongelea celebrities, wewe ni mshamba tuu utakua .
labda wewe ndio mshamba

umeishi marekani tu!

wenzio tumetembea nchi 100 za dunia mpaka sasa na bado

so pole kama America ndio nguzo yako ya kukutoa ushamba
 
Hamna we mjinga mjinga tu sema hao wanao kutag nadhani uwezo wa kung'amua mambo ni mdg...huna uwezo mkubwa huo ndo ukweli[emoji2][emoji2]
Ukipona huo Ugonjwa uje utusimulie nin kimebadilika kwako
like wise

thank u for being honest kama mimi nimekupenda bure

Sasa mbna Leo umewaongelea huo muda umetoa wapi
nimeutoa ulipoutoa wewe

my dia povu vepe
nenda vogue youtube kaone wamemu interview 50 cent uone anatengeneza bei gan acha kuandika andika tu huna prove!

mambo?
 
wewe kama mimi,the only news nazofatilia ni ishu za kuhusu nchi yangu na viongozi wangu waliopo madarakani na mwisho ni kuwaombea waliongoze Taifa vyema,social media tupa kule ujinga/upupu mtupu umejaa huko.
meona ee

nimekupenda bure

achana na hawa common people ndio maana watz hatuendelei
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…