Mange Kimambi, Diamond Platinumz, Ali Kiba; Sijawahi kuwafollow watu hawa

Mange Kimambi, Diamond Platinumz, Ali Kiba; Sijawahi kuwafollow watu hawa

Kusema ukweli sijui ni marafiki nilionao au hata sielewi lakini hauwezi amini mimi money penny sijawahi KUMFOLLOW Mange Kimambi Instagram wala Facebook wala twitter

Diamond platnumz sijawahi KUMFOLLOW instagram wala Facebook wala twitter zaidi ya kula karanga na kuskiza mziki kwenye gari ya dereva was ofisini kwa mume

Ali Kiba nampenda sana mimi ni team Kiba lakini sijawahi KUMFOLLOW sijui instagram wala Facebook wala twitter sijui Snapchat

Hizo social media zote ninazo na kila. Siku lazima niingie kuperuz ila hawa watu kuwafollow haijawahi kunitokea kabisaa

Wema sijawahi KUMFOLLOW
Lulu sijawahi KUMFOLLOW
Wolverhampton stylish sijawahi KUMFOLLOW
Shihi baby... snura. .. anti ezekiel. ..moze iyobo... Zari... Hamisa...clouds media grup... efm... wasafi crew... sijawahi kuwafollow hate siku 1

Mimi nipo more focused na celebrity was marekani na uingereza hasa blacks kidogo wale wananipa kitu cha kuwafollow

Mimi na marafiki zangu tukikaa hautaskia tunaongelea bongo movie wala platnumz sijui zari sijui hamisa never tunaongelea Janet Jackson... Beyonce. ..JayZ. .. BET CREW... LONDON CREW... maraisi wa dunia... Raisi Wangu Mh. MAGUFULI na crew yake eeh... waandishi akina Daniel Steel na wengine wengi.... wanamziki akina Producer mume wa Alicia Keys... Trace Elis Ross... Diana Ross... Celine Dione... P.Diddy... Mary Mary singers... Dolly Pardon...watu ambao ukiwaangalia leo unajjifunza kitu...watu interesting ndio tunadiscuss sio vinginevyo ... Kwanzaa nikiliamsha kudiscuss Platnumz kila mtu anaaga anaondoka mana mmekosa cha kuongea

Mwenzangu niko na wakati mzuri at the same time naweza sema mgumu. .. Ni sawa kuwafollow raia was Kenya lakini haumfuatilii Msaniii hata mmoja wa Kenya unafuatilia was Tz

Tupo buzy na maisha than chasing celebrities ambao hawaniongezei chochote kwenye maisha yangu

Mange Kimambi namfahamu na nampenda sana Kwanzaa yeye ni March Baby mwenzangu ila walaaa sijawahi mfollow zaidi ya kumsoma wakimuandika jamii forum sio follower wake!

Wabongo wanamuda jamaani. .. tujaribu kudiscuss vitu vya maendeleo zaidi hao mnaowadiscuss mnawaingizia fedha alafu unatoka kapa si bora udiscuss mtu ukamwingizia hela inakusaidia kujifunza kitu ukapata idea ukatengeneza kitu kikakuingizia pesa ambayo haukutegemea na idea unique...

Ni hayo.tu kuhusu mie Money Penny

Wasaniii wote wa tz nawapenda ila sijawahi kuwafollow kiviiile kama watz wenzangu wanavyofollow hawalali
Doh we wa masaki, msosi draft, ipad uliletewa na dady kipindi upo form1 unaanzaje kuwafollow akina Mond kwanza sijui kwa nini unamshabikia Kiba na wasanii Wa Bongo, Mi nilitegemea utatuambia Unawasikiliza akina Imagine dragon, Taylor Swift, Edward Sheeran, Demi Lovato etc Ila Sisi Watupori Au Watoto Wa Kitunda, Charambee Tupo Dar Lakini Mkuki House Sijui Mlimani City Hatupajui, Tunapasikiaga tu Unategemea Tutawafollow akina nani Wasanii wenyewe tunawaona kwenye banda la video, tunalipa 100 Unategemea Tutapiga Story Za Akina Wakanda, Lennie James, Denzel Sijui Kyliejener Tunaanzaje. Dunia Ipo kwenye Class Wa Obey Masaki Maisha Bora Mna Watu Wenu Wa Kuwafollow Ila Wa Tandale, Tandika, Mbagala Nao Watu Wao Ndio Hao Akina Aslay, Msaga Sumu etc But Thanks Kwa Ushauri That We'd utilize the most of our Time Kutafuta Pesa rather than Umbea. Ila Vp Una Buku Ten Ya Karibu Apo
Kusema ukweli sijui ni marafiki nilionao au hata sielewi lakini hauwezi amini mimi money penny sijawahi KUMFOLLOW Mange Kimambi Instagram wala Facebook wala twitter

Diamond platnumz sijawahi KUMFOLLOW instagram wala Facebook wala twitter zaidi ya kula karanga na kuskiza mziki kwenye gari ya dereva was ofisini kwa mume

Ali Kiba nampenda sana mimi ni team Kiba lakini sijawahi KUMFOLLOW sijui instagram wala Facebook wala twitter sijui Snapchat

Hizo social media zote ninazo na kila. Siku lazima niingie kuperuz ila hawa watu kuwafollow haijawahi kunitokea kabisaa

Wema sijawahi KUMFOLLOW
Lulu sijawahi KUMFOLLOW
Wolverhampton stylish sijawahi KUMFOLLOW
Shihi baby... snura. .. anti ezekiel. ..moze iyobo... Zari... Hamisa...clouds media grup... efm... wasafi crew... sijawahi kuwafollow hate siku 1

Mimi nipo more focused na celebrity was marekani na uingereza hasa blacks kidogo wale wananipa kitu cha kuwafollow

Mimi na marafiki zangu tukikaa hautaskia tunaongelea bongo movie wala platnumz sijui zari sijui hamisa never tunaongelea Janet Jackson... Beyonce. ..JayZ. .. BET CREW... LONDON CREW... maraisi wa dunia... Raisi Wangu Mh. MAGUFULI na crew yake eeh... waandishi akina Daniel Steel na wengine wengi.... wanamziki akina Producer mume wa Alicia Keys... Trace Elis Ross... Diana Ross... Celine Dione... P.Diddy... Mary Mary singers... Dolly Pardon...watu ambao ukiwaangalia leo unajjifunza kitu...watu interesting ndio tunadiscuss sio vinginevyo ... Kwanzaa nikiliamsha kudiscuss Platnumz kila mtu anaaga anaondoka mana mmekosa cha kuongea

Mwenzangu niko na wakati mzuri at the same time naweza sema mgumu. .. Ni sawa kuwafollow raia was Kenya lakini haumfuatilii Msaniii hata mmoja wa Kenya unafuatilia was Tz

Tupo buzy na maisha than chasing celebrities ambao hawaniongezei chochote kwenye maisha yangu

Mange Kimambi namfahamu na nampenda sana Kwanzaa yeye ni March Baby mwenzangu ila walaaa sijawahi mfollow zaidi ya kumsoma wakimuandika jamii forum sio follower wake!

Wabongo wanamuda jamaani. .. tujaribu kudiscuss vitu vya maendeleo zaidi hao mnaowadiscuss mnawaingizia fedha alafu unatoka kapa si bora udiscuss mtu ukamwingizia hela inakusaidia kujifunza kitu ukapata idea ukatengeneza kitu kikakuingizia pesa ambayo haukutegemea na idea unique...

Ni hayo.tu kuhusu mie Money Penny

Wasaniii wote wa tz nawapenda ila sijawahi kuwafollow kiviiile kama watz wenzangu wanavyofollow hawalali
Doh we wa masaki, msosi draft, ipad uliletewa na dady kipindi upo form1 unaanzaje kuwafollow akina Mond kwanza sijui kwa nini unamshabikia Kiba na wasanii Wa Bongo, Mi nilitegemea utatuambia Unawasikiliza akina Imagine dragon, Taylor Swift, Edward Sheeran, Demi Lovato etc Ila Sisi Watupori Au Watoto Wa Kitunda, Charambee Tupo Dar Lakini Mkuki House Sijui Mlimani City Hatupajui, Tunapasikiaga tu Unategemea Tutawafollow akina nani Wasanii wenyewe tunawaona kwenye banda la video, tunalipa 100 Unategemea Tutapiga Story Za Akina Wakanda
 
Doh we wa masaki, msosi draft, ipad uliletewa na dady kipindi upo form1 unaanzaje kuwafollow akina Mond kwanza sijui kwa nini unamshabikia Kiba na wasanii Wa Bongo, Mi nilitegemea utatuambia Unawasikiliza akina Imagine dragon, Taylor Swift, Edward Sheeran, Demi Lovato etc Ila Sisi Watupori Au Watoto Wa Kitunda, Charambee Tupo Dar Lakini Mkuki House Sijui Mlimani City Hatupajui, Tunapasikiaga tu Unategemea Tutawafollow akina nani Wasanii wenyewe tunawaona kwenye banda la video, tunalipa 100 Unategemea Tutapiga Story Za Akina Wakanda, Lennie James, Denzel Sijui Kyliejener Tunaanzaje. Dunia Ipo kwenye Class Wa Obey Masaki Maisha Bora Mna Watu Wenu Wa Kuwafollow Ila Wa Tandale, Tandika, Mbagala Nao Watu Wao Ndio Hao Akina Aslay, Msaga Sumu etc But Thanks Kwa Ushauri That We'd utilize the most of our Time Kutafuta Pesa rather than Umbea. Ila Vp Una Buku Ten Ya Karibu Apo

Doh we wa masaki, msosi draft, ipad uliletewa na dady kipindi upo form1 unaanzaje kuwafollow akina Mond kwanza sijui kwa nini unamshabikia Kiba na wasanii Wa Bongo, Mi nilitegemea utatuambia Unawasikiliza akina Imagine dragon, Taylor Swift, Edward Sheeran, Demi Lovato etc Ila Sisi Watupori Au Watoto Wa Kitunda, Charambee Tupo Dar Lakini Mkuki House Sijui Mlimani City Hatupajui, Tunapasikiaga tu Unategemea Tutawafollow akina nani Wasanii wenyewe tunawaona kwenye banda la video, tunalipa 100 Unategemea Tutapiga Story Za Akina Wakanda
doh

Ushauri: Money Penny Kapendwa
 
Nenda kaangalie YouTube au wikipedia bibliography ya hao watu walipotoka mpaka sasa na wamefanya vitu gani kwenye maisha na Jamii yao uone kama utalala usingizi wewe!

Kama tu unapenda maendeleo
kwani hujui pia alipotoka diamond tandale na saiv yukoje,hutu tumalayya tunatojiuza kwa zunggu bwana
 
We bwana akili Huna kabisa sina cha kuongea na wewe

Mbona Bakhresa katokea kkoo ndani ndani ushawahi mwona anaishi chini ya hadhi yake kwa sasa?

Njoo huku labda kutakusaidia kupanuka akili Happy birthday to malkia wa nguvu Money Penny
huko kunanini si mmeenda mlioshindwa kutusua hapa kwa sababu ya low IQ mmenda kuuza machungwa ,kufua ,kudeki ,kupaka rangi ,na other unproffessional job ofcoz huna green card labda uto.mbwee na usiyempenda ili upate makaratasi (cheap goa.t from shitholee count.ry ) wasomi mmeacha hapa ardhi yenye rutuba na mito kede ,mimadini inaoza polini mnaenda kuzaa na wazungu muwasumbue child support (Take it from me no True tanzanian decent raised can fall in true love with the rotten white&black american) Mimi nampenda sana Trump aliongea ukweli kwa nn mkimbie nchi zenu kwenda huko mnaanza lalamika mnatengwa si urudi kwenu kigoma ardhi kibao ,sababu pekee mimi inayoweza kunipeleka huko ni kutalii (kupiga mala..ya ,kuspend au elimu tuuu au biashara (to export goods from here to there nshatuma sana vinyago,vitenge ,dagaa huko 2013-2015) ,eti njoo kupanuka akili ipi ya kutengeneza garden,kuosha vyombo my swollen foot idio.t
 
huko kunanini si mmeenda mlioshindwa kutusua hapa kwa sababu ya low IQ mmenda kuuza machungwa ,kufua ,kudeki ,kupaka rangi ,na other unproffessional job ofcoz huna green card labda uto.mbwee na usiyempenda ili upate makaratasi (cheap goa.t from shitholee count.ry ) wasomi mmeacha hapa ardhi yenye rutuba na mito kede ,mimadini inaoza polini mnaenda kuzaa na wazungu muwasumbue child support (Take it from me no True tanzanian decent raised can fall in true love with the rotten white&black american) Mimi nampenda sana Trump aliongea ukweli kwa nn mkimbie nchi zenu kwenda huko mnaanza lalamika mnatengwa si urudi kwenu kigoma ardhi kibao ,sababu pekee mimi inayoweza kunipeleka huko ni kutalii (kupiga mala..ya ,kuspend au elimu tuuu au biashara (to export goods from here to there nshatuma sana vinyago,vitenge ,dagaa huko 2013-2015) ,eti njoo kupanuka akili ipi ya kutengeneza garden,kuosha vyombo my swollen foot idio.t
Mpendwa
Unajua maana ya sustainable development?
Kama Unajua kawasaidie ndugu zako
Ukibishana na mimi unaonekana jingas maana me sio celebrity
 
Mpendwa
Unajua maana ya sustainable development?
Kama Unajua kawasaidie ndugu zako
Ukibishana na mimi unaonekana jingas maana me sio celebrity
Sikiliza child support surviver ,hiyo hata huko ililetwa na wazawa ,na usiseme ndugu zangu sema zetu ,we umekalia kuwatumia vibikini wenzio tuko huku tukiwaelimisha kilimo bora ili siku moja wajukuu zetu waajiri wamarekani waje kuuza supermarket zao kama wewe ulivyoenda huko ni laana ulipaswa uende either kutalii,kusoma au biashara ,wewe umeenda kutomb.ana na usowapenda upate viza tena msivyo na haya hadi mnazaa yarabii na hizo nguru.we muwaibie vihela vyao vya peshion ,gold deep digger,Hivi kwa nini mkishaenda kuwa vibarua na mahausigeli manajifanya nyinyi ni jamii ya huko my dear ur a villager in africa and no one cares abt you kuliko mimi hiyo usa yooote,come back tufanye sustanable development from your real origin shitho..le country girl ...loserrr
 
Sikiliza child support surviver ,hiyo hata huko ililetwa na wazawa ,na usiseme ndugu zangu sema zetu ,we umekalia kuwatumia vibikini wenzio tuko huku tukiwaelimisha kilimo bora ili siku moja wajukuu zetu waajiri wamarekani waje kuuza supermarket zao kama wewe ulivyoenda huko ni laana ulipaswa uende either kutalii,kusoma au biashara ,wewe umeenda kutomb.ana na usowapenda upate viza tena msivyo na haya hadi mnazaa yarabii na hizo nguru.we muwaibie vihela vyao vya peshion ,gold deep digger,Hivi kwa nini mkishaenda kuwa vibarua na mahausigeli manajifanya nyinyi ni jamii ya huko my dear ur a villager in africa and no one cares abt you kuliko mimi hiyo usa yooote,come back tufanye sustanable development from your real origin shitho..le country girl ...loserrr
Kamshauri kakako sijui mdogowako sijui dadazako kuhusu sustainable development

Sio mambo ya aibu mara kuandamana tar 26 April using a mtupu a ee

Sijui kuuza ubuyu, karanga mara viungo vya pilau

Bora kiba kaamua kuimba tuuu

Anywho nakufananisha na mwanafunzi wa kayumba ukifundishwa hautaki kuelewa tunakuacha ivyo ivyo
 
Kamshauri kakako sijui mdogowako sijui dadazako kuhusu sustainable development

Sio mambo ya aibu mara kuandamana tar 26 April using a mtupu a ee

Sijui kuuza ubuyu, karanga mara viungo vya pilau

Bora kiba kaamua kuimba tuuu

Anywho nakufananisha na mwanafunzi wa kayumba ukifundishwa hautaki kuelewa tunakuacha ivyo ivyo
Sasa mzaramo wangu original vitu vinaenda kwa level hata huko miaka ya 1800's hakuna aliekuwa staa kama diamond leo na ovious walifanya vitu vya chini ya hapo mambo ni ngazi kwa ngazi huu ndo uhalisia wako wewe muha,USA toka ipate uhuru ni miaka 240 naaa ,unafananishaje wasanii wa hizi nchi mbili ,ni sawa na uniulize diamond na baraka mwinsheik nani zaidi itakuwa ngumu kujibu ,leo hii kwa huo usaint something not kayumba ukiambiwa mtu tajiri kuwahi kuishi duniani alikuwa muafirica aliitwa Mansa musa ,na kwa mujibu wa takwimu zao hutaamini ,AGAIN THAMINI VYA KWENU ,Umbea na kufatilia maisha ya watu huku tunaiga tuu tumecopy kwa hao kina JZ tena wanama beef hadi kuuana si hatujafika huko ,et kawewe huwezi mfollow zari ok si mkamilifu ndo anafikia mikahaba kama rihana ,kim kardashian mi hiyo hata mbwa wangu siwezi ruhusu aito.nyee
 
Back
Top Bottom