Mange Kimambi, Diamond Platinumz, Ali Kiba; Sijawahi kuwafollow watu hawa

aisee

mwenyewe unaona umeongeeeaaa!

poyteee
 
Ingekuwa kweli 50cent angekuwa kwenye list ya mabilionea kitu ambacho hata pdiddy bado hajafanikiwa.
Maana tilion 3 ungezibadiri kwenye dollars unaongelea bilion dollars kadhaa.
Mpaka sasa hakuna mwana hip hop bilionea marekani
kweli wewe bado kabisa

be a google/ youtube friendly user
 
Kuwa mkweli tu,una genes ya utumwa na kuna siku utaenda kulea wazee ulaya wakati mamio hana kadi ya bima ya afya!
kazi labda ufanye wewe maana upoo buzy na hao celeb ambao hata hawakusaidii kitu!

wewe ndio utapewa hizo kazi ukakubali sio mimi ambae nafikiria nje ya box!
 
kweli wewe bado kabisa

be a google/ youtube friendly user
Narudia tena 50cent hajawa kwenye list ya mabillionea na hakuna mwana hip hop ambaye yuko kwenye hiyo list.
Wanaonyemelea ni Pdiddy na Jay Z, mtu ambaye kidogo aingie kwenye hiyo list alikuwa Dr Dre baada ya kuuza Beats by Dre lakini baada ya makato na kugawana kilichobaki still hakuweza kuingia.
Inanipa mashaka hata kama unayoyazungumza unayafahamu.
Naongelea bilion dollars
 
sawa research yako umeifanyia wap labda embu lete prove basi
 
sawa research yako umeifanyia wap labda embu lete prove basi
Hiyo ni according to forbes magazine jarida linaloheshimika kwa kutaja mapato na utajiri wa watu.
Mpaka sasa mabilionea duniani accroding to forbes wako kama 400 tu na kati yao hakuna mwana hip hop hata mmoja mtu ambaye mwaka huu ukimwendea vizuri ataingia ni Pdiddy.
50cent utajiri wake ulishuka sana kuna kipindi mwaka 2016 alikuwa na utakiri wa 20 milion dollars kutoka 150 million dollars hadi akaaangaza kufirisika au hukusikia.
Now ndiyo kaanza kurudi rudi na hata hajafikisha utajiri wa dola milion 150 alizokuwa nazo awali.
Kitu kingine kilichompa ela mwaka huu ni bitcoins alinunia bitcoins akasahau anakuja kukumbuka anakuta zina thamani ya Usd 7 million.
So 50cent utajiri wake hata Bakhresa anamzidi maana mwaka juzi forbes africa walisema bakhresa ana utajiri wa 400 milion dollars.
 
Ushauri: Money Penny Kapendwa
 
Kunywa maji sio sharti utumie glass! Unaweza kutumia kopo; na bado ukayanywa! Hata ng'ombe hatumii glass, kopo wala bakuli lakini siku anakunywa maji!

So, hoja yako ningeiona ya msingi endapo ungesema HUWASOMI hao watu... lakini hujawa-FOLLOW?! Kwani kumsoma na kufuatilia posts za mtu ni lazima um-follow? Hivi hoja ni kum-Follow au kumsoma/kumfuatilia?!
 
Ushauri: Money Penny Kapendwa
 
Nimetafuta connection ya hii link na nilichokuandikia sijaiona.
Anyway mimi si kati ya hao uliokuwa unawapasha na ukweli ni kwamba hata ID yako nimeijua kupitia huu uzi sikuwahi kuiona before
me mbnona maarufu sana nimeandika stori nyingi sana

nitakuinbox stori zangu

mimi ni Ke hope nimejibu swali lako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…