Mange kimambi kugombea ubunge 2020?

Hana akili ,wivu na chuki! Ana roho mbaya kama sura yake ,,,ubunge labda wa Instagram alaf atagombea chama gani? Aligombea CCM akakosa ndo maana anajivuta vuta chadema kwa kukosoa serikali ya pombe ,,kumuita makonda shoga na mgumba! kumtukana raisi kutwa nzima hana akili watakaompa labda wawe hawamjui kwa kwelii aende ACT labda
 
hahahaaaaa ikinishinda ya kuhama bongo basi ntaenda kijiji kisicho na umeme wala redio........mh huyu bnadamu kuupata ubunge bongo ni ndoto ya mchana
Ndoto!?
Ahhhh wapi...ana wafuasi wake kibao ambao wanaweza kumuunga mkono akaukwaa ubunge kirahisi tu.
 
She really is a social reject.. Ana uelewa sana wa mambo. Ila nahisi she is so lonely and stressful, ndo mana hasira zake za kuwa rejected anazimalizia kwa watu. She needs really a tight hug
 
Mbona umesahau kuwa ni bonge moja la bully kwenye social networks?
 
Akijibu hoja ya kwa nini hachukui uraia wa USA,Mange kupitia ukurasa wake wa Instagram alijibu anaogopa kuukana uraia wa Tanzania kwani atapoteza ndoto yake ya kugombea ubunge 2020
sasa dawa yake ili arudi bongo, ni kuvamia nyumba zake au mashamba yake au hotel yake, akifika tu bongo, atakutana na makonda, atakutana na wote aliowatukana including samwel na wengine wengi, watakapombanika kama panya wa mtwara ndipo atapata akili kuwa kichwa chake kilichojaa kamasi hakihitajiki hapa duniani. sifuri kabisa yule.
 
Labda ataenda kijiji fulani ambapo watu hawamfahamu. Lakini kama ni Dar, Mwanza sijui Arusha asahau.
Huko vijijini sikuhizi kuna smart phone, hukusikia juzi mkulu alisemea bei ya korosho ni Tsh 4,500. Wanapesa ya vocha na wanamjua Diamond, Wema Sepetu mpaka Harmonize ni nani. Hakuna aliyelala.
 
Akijibu hoja ya kwa nini hachukui uraia wa USA,Mange kupitia ukurasa wake wa Instagram alijibu anaogopa kuukana uraia wa Tanzania kwani atapoteza ndoto yake ya kugombea ubunge 2020
Baada ya Trump ndo wameanza kujisemesha semesha kurudi huku??? Wakae huko huko na matusi yao.....!!! Anatukana sana huyu mgombea mtarajiwa
 
Asante, blog yake inaitwaje mkuu? Mbona siyo popular kama Issa michuzi au Millard Ayo? ?
Blog yake ilishajifia. Alikuaga sponsored na Voda, lakini alivozidisha matusi na ku bully watu especially Lowassa na the Makambas voda wakajitoa kum sponsor, so na kiblog kikajifia. Afu to put things clear,mange kajizolea umaarufu mkubwa aliboanza kumkashifu lowasa na the Makambas. pia huyu mwanamama ni mchambaji na mtukanaji mzuri sana hapa Tz anatukana au kusuta anyone bila kujali jina lake wala cheo chake. Pia akili yake ikiwa sawa( wananchi wanasemaga Mange ni bipolar) huwa ni mchambuzi mzuri sana wa social and political issues ( kwa hili nampa credit)
 
Nahivi anakigugumizi kama changu.... yule maneno kwa maandishi tu ila face to hawezi ataishia kukung'ata na Mungu huwa hakosei maana angepewa ulimi mlaini dah sijui tu
 
Hivi wewe ni nani yake mpaka umnenee kwamba hawez kuacha!? Akiamua anaweza bora kuwa na Mbunge kama Mange mlopokaji kuliko kuwa na wabunge wa 10Mil. Wale mwanzo mwisho wanasujudu chama kuliko wapiga kura!
Kuna kipindi alisema hataki tena umbeya anataka kuwa madam hataki umbeya umbeya watu wasimsjirikishe,mweehhh ilipita tu week akasikia recho anaolewa akaanza tena matusi yake....ni matusi kwa kwenda mbele sasa kiongozi gani hawezi kujisimamia yeye mwenyewe kile anachotaka,kutukana mama za watu kisa ana ugomvi na watoto wako,as a matured person alitakiwa kujifunza kuignore mambo mengine akafocus ktk productive issues,
Hata kama hasira za maisha,visasi etc there a lot defence mechanisms angetafuta hata mwanasaikolojia bc ila sio kutukana wamama wazima kisa watoto wao wakitukanwa ni don't care, she's good ila hilo la matusi linatia kichefuchefu I can imagine what's in her mind all the time kupitia yanayomtok mdomoni mwake,watoto watatu bado anadanga,jobless while she's physically fit ni dhambi asee
 
Kumbe Wazazi waliweka nguvu kwenye mali kuliko Elimu na hekima...matokeo yake umeishia kuwa stressfull, hopeless na useless....wakati Dada kama Maria Sarungi Wazazi wake wamewekeza kwenye Elimu na hekima ona alivyo bright na usefull kwa taifa lake.

....Urithi wa kweli ni Elimu...
 
Weka video na wew kwenye video yako tuone, usije ukamsema dada WA watu kumbe Wewe mwenyewe ni balaa
 
Ndo nani huyo?
Ni Mtukanivu mmoja hivi asiyejali rika wala nafasi ya Mtu kwenye jamii.

Kukosa hii mitandao basi angekuwa anatembea mitaani anatukana kila anayemuona.....ashukuru sana hii mitandao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…