Mange Kimambi matusi yake yanawadhalilisha wanawake ajabu wanayashangilia

Wewe ni nani mpaka aingie kwenye anga zako Siro ameambiwa dawa yake inachemka
Hawezi kumtisha Sirro huyo. Dawa yake inachemka huyo Mange na siku zake zinahesibika.
 
Hahaha nakucheeka kwa dharau, ukiona unamjua mange ujue unamfuatilia sasa kwann kama una akili timamu umfuatilie mtu anaye kuchukiza? Wewe nae huna lolote,vitisho vya kijinga sana hivyo
 
Haya mama amekusikia
 
Ifikie hatua tujitambua Mange anakula bata mbele uko. Mimi na wewe tunakula doso harafu nimuone kama mkombozi wangu. F**k you Mange. Mambo mengi hayako sawa. Suruhisho sahihi ni katiba mpya tu na siyo uwo mweu ambaye akisifiwa anavimba.
 
Hahaha nakucheeka kwa dharau, ukiona unamjua mange ujue unamfuatilia sasa kwann kama una akili timamu umfuatilie mtu anaye kuchukiza? Wewe nae ni hayawani tu huna lolote,vitisho vya kijinga sana hivyo
Haya tramadol, kabla hujapambana na Mange, embu anza na huyu tukuone kama unayaweza kweli
 
Halafu unakuta eti wanaitana kabisa "unapitwa huku" ..."jamani mkuje huku"

Yaani watu wanaitana kuja kuona matusi na hapo vimesemwa viuongo vyao, ajabu sana
Angekua ana consistance juu ya ukosoaji pasipo matusi hata mimi ningemkubari maana anajenga. Sasa yeye mara Chibu na familia yake, mara Faiza. Mara serikali, mara Bashite, mara Lemutuzi. Cjui wema kafanya hiv kamsifia.
 
Hahaha nakucheeka kwa dharau, ukiona unamjua mange ujue unamfuatilia sasa kwann kama una akili timamu umfuatilie mtu anaye kuchukiza? Wewe nae ni hayawani tu huna lolote,vitisho vya kijinga sana hivyo
LadyAJ
 
Umetumwa na bashite,siro au lemutuz drop this crap wewe mwenyewe matusi
 
Mange Kimambi kachagua hio kama kazi yake, tusubiri astaafu akiwa na miaka 60.
Wanaojitambua wanajua njia sahihi ya kufuata maana hata Mange akiacha kutukana ataokea Mange mwingine na mwingine na mwingine. Lakini ipo siku she'll look back and know how foolish she has been and it will be too late.
 
sasa kama wewe sio mwanamke inakuuma nini?
 
Munashindwa nini kumteka, kumtesa na kumuua?!, nyie si mmechukua nafasi ya Dhiraili mtoa roho za wakosowaji wa serikali, sasa mnashindwa nini kumfanyizia??

Hebu tutolee ugoro wako hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…