tramadol
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 5,383
- 4,323
- Thread starter
- #81
Hata kama anafanya kazi zake... Amekubuhu kwa matusi kwa viongozi wetu hilo haikubaliki.... Kama kuna shida na Serikali suluhu sio matusi hayamsaidi zaidi ya kujidhalilisha na kudhalilisha wanawake wenzakembona inaonekana kama wewe ndiye unayehitaji ushauri wa kisaikolojia maana MK naona anafanya shughuli zake consistently na wala sijamuona kutetereka. upande mwingine wewe unaweweseka kwamba MK ana matatizo. Napata shida sana jinsi watu wengine wanavyofikiri. labda na mimi nahitaji ushauri wa kisaikolojia