Mange Kimambi matusi yake yanawadhalilisha wanawake ajabu wanayashangilia

Hata kama anafanya kazi zake... Amekubuhu kwa matusi kwa viongozi wetu hilo haikubaliki.... Kama kuna shida na Serikali suluhu sio matusi hayamsaidi zaidi ya kujidhalilisha na kudhalilisha wanawake wenzake
 
wee na
Hapangiwi cha kupost ila asije akarogwa akaingia kwenye anga zangu
wee nawee! ptuyuuuuuuuu
kisa cha kujitafutia kuharibu siku zako za mwezini!!! jifanye humjui mange uepuke kuaibika.
anaaibishwa SIZONJE, ZIRRO itakuwa kifaranga wewee!!
 
Halafu unakuta eti wanaitana kabisa "unapitwa huku" ..."jamani mkuje huku"

Yaani watu wanaitana kuja kuona matusi na hapo vimesemwa viuongo vyao, ajabu sana
tasavali we bibi.. hayo sio matyuss ni MIPASHUOOO hiyo kwenyu nyie wa mtaa uleeeee
 
bora msg ikimfikia mlengwa mmoja tyuu..
kuliko kuwafikia mburulazz 100 wa lumumba itakuwa haina maana
 
Hivi huko insta anatumia jina gani ,,,nataka nami nikaangalie maovu yake!!!
 
Mambo ya wanawake waachie wanawake wenyewe, kuwa makini utasutwa.
 
mmmnhhh mtoa mada noted,ataanza soon kutoa matusi yaliyokaa kiume ume,lol
 
pambana na hali yako na yeye ndio hivo anapambana na hali yake,kwanini unfollow mtu usie muelewa
 
Matusi ya mange hayajawahi kunidhalilisha. Yanamdhalilisha muhusika aliyetukanwa!
Yanamdhalilisha mwanamke duniani. Hakika sijampenda kwa matusi yake.
 
Kipimo cha kujua ujinga wa mdada ni kumpenda mange kimambi....sanaaa
 
Amewashik pabaya tulizen mishono... Hawez kujamjadil mtu acye na influence kwny jamii. Mtoa post uctafute kick kw pikpik utaangukia pua
 
tasavali we bibi.. hayo sio matyuss ni MIPASHUOOO hiyo kwenyu nyie wa mtaa uleeeee
Nani bibi yako mwana haramu mkubwa wewe?

Kwanza hata kuandika tu penyewe hujui pumbavu sana tafuta mjinga mwenzako ndio umletee huo usakara ulioandika hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…