Hata kama anafanya kazi zake... Amekubuhu kwa matusi kwa viongozi wetu hilo haikubaliki.... Kama kuna shida na Serikali suluhu sio matusi hayamsaidi zaidi ya kujidhalilisha na kudhalilisha wanawake wenzakembona inaonekana kama wewe ndiye unayehitaji ushauri wa kisaikolojia maana MK naona anafanya shughuli zake consistently na wala sijamuona kutetereka. upande mwingine wewe unaweweseka kwamba MK ana matatizo. Napata shida sana jinsi watu wengine wanavyofikiri. labda na mimi nahitaji ushauri wa kisaikolojia
wee nawee! ptuyuuuuuuuuHapangiwi cha kupost ila asije akarogwa akaingia kwenye anga zangu
tasavali we bibi.. hayo sio matyuss ni MIPASHUOOO hiyo kwenyu nyie wa mtaa uleeeeeHalafu unakuta eti wanaitana kabisa "unapitwa huku" ..."jamani mkuje huku"
Yaani watu wanaitana kuja kuona matusi na hapo vimesemwa viuongo vyao, ajabu sana
bora msg ikimfikia mlengwa mmoja tyuu..Kwa kweli angeacha matusi message zake zingewafikia wengi na yeye angepata ujiko na heshima zaidi, ila matusi yake makali mno, hajali hata akijitukana yeye na viungo vyake, wanawake wenzake, mama zetu, shangazi zetu, dada aetu, watoto wetu wa kike na hata wanaume! Aache matusi amwage hoja, hapo utaona watu watakavyompenda zaidi...
Mambo ya wanawake waachie wanawake wenyewe, kuwa makini utasutwa.Maajabu kwa baadhi ya wanawake wa kitanzania pamoja na matusi yote ya Mange hasa yakiwalenga wanawake lakini hao hao ndiyo wapambe na mashabiki wakubwa wa mwanadada huyo.
Ndiyo maana na yeye anaendelea na anapenda sana kuandika matusi mitandaoni kwasababu wapenzi wake wapo hasa hasa hao wanawake wenzake.
Mange anahitaji ushauri wa kisaikolojia ili akili yake itulie hasa kukosa ubunge wa viti maalumu na kupewa talaka kumemchanganya sana.
Mlioko karibu naye msaidieni huyo Mtanzania anayejifanya ni Mmarekani.
pambana na hali yako na yeye ndio hivo anapambana na hali yake,kwanini unfollow mtu usie muelewaMaajabu kwa baadhi ya wanawake wa kitanzania pamoja na matusi yote ya Mange hasa yakiwalenga wanawake lakini hao hao ndiyo wapambe na mashabiki wakubwa wa mwanadada huyo.
Ndiyo maana na yeye anaendelea na anapenda sana kuandika matusi mitandaoni kwasababu wapenzi wake wapo hasa hasa hao wanawake wenzake.
Mange anahitaji ushauri wa kisaikolojia ili akili yake itulie hasa kukosa ubunge wa viti maalumu na kupewa talaka kumemchanganya sana.
Mlioko karibu naye msaidieni huyo Mtanzania anayejifanya ni Mmarekani.
sasa unaomba msaada JF au vp,?????pambana nae basi huko huko US na Insta JF unaomba msaada wa nini hukuAnadhalilisha viongozi wetu hatuwezi kumuacha
Nani bibi yako mwana haramu mkubwa wewe?tasavali we bibi.. hayo sio matyuss ni MIPASHUOOO hiyo kwenyu nyie wa mtaa uleeeee