Mange Kimambi: Mwanaharakati mwiba wa Serikali ya Magufuli

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uhaini. Kweli ni uhaini?Kwani katiba yetu inasemaje kuhusu maandamano? Maana mimi niko huku kangetutya halafu drs la tatu tu
 
Naona umejimilikisha kazi ya Sammy Awami wa BBC
 
mnhhh unawaonaga police kila siku kwani wakifanya hizo kazi zao???au mpaka wasikie kuna maandamano ya Mange?lol
Wewe si unamuona mange..wenye kazi zao wanaokufanya hata wewe uandike kusifia mange wanaona zaidi ya mange..
 
Hapo sweden huyo balozi anatakiwa anakili hayo mabango yanasemaje,
huo sio muda wa maongezi ya mdomo aongee na mabango ya waandamanaji.
 
hongera sana Mange kitendo cha mapolice kukaa barabarani ni prove tosha kuwa ni wewe ni mwanamke shujaa... ....kwani nini wangapi wana Instagram account na serikali haiwatambui???? lol
Vipi uliandamana au ubwabwaja tu mayalaaa wewe!!
 
mimi namuona Mange ndio,na wewe endelea kumuona Magufuli,msaliti kama wewe,kakuibia trillion bado unampigania...mnnhhh
Ndio akili ya watz inaweza kukariri na kusubiri matukio kushabikia..uwezo wa kufanya reasoning ili kuona zaidi ya wanachosikia au kuona ni mdogo sana, wewe ni mmoja wao.
 
Ndio akili ya watz inaweza kukariri na kusubiri matukio kushabikia..uwezo wa kufanya reasoning ili kuona zaidi ya wanachosikia au kuona ni mdogo sana, wewe ni mmoja wao.

wewe reasoning yako iko wapi??...kula hadi rambi rambi eti kutengeneza miundo mbinu wakati hujui trillion zimefutika na nani,hio ni reasoning au umejaza matope kichwani?
 
Kwa akili hizi siasa za Tanzania zimewashinda, unawezaje kupata 0 halafu ukatamba umepata 100. Hivi nyie mna tafsiri tofauti ya mafanikio?
 
Bila shaka umevuta cha arusha mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…