Mange Kimambi ndani ya vazi la Bikini

Tatizo nyie wote mnafikiri watu wote tunapenda hio mitako tako yenu iliojaa kama magunia ya pilpili...wengine ni waafrika kwa rangi tuu lakini tuko kizungu zaidi tunapenda vi portable kama hapo mange nimemtamani duuuuh ndo type zangu hizo....

Hongera sana....wengine wakiona picha kama hizi wanakumbuka kibonzo cha betina kijarida cha sani na stimu zao zinakatika
 
Iyo figa matata sana ila sura sio kivile...ukizoea shepu hizi, matimbwinya walaaaa hayakusumbui
 
Kwa sheria hii Wewe jela,

Sheria huanza kufanyakazi kuanzia tarehe iliyosainiwa na raisi na kukubaliwa rasmi, toka tarehe hio kwenda mbele, sio kuhukumu matukio ya nyuma, isipokua tu kwa matukio kama genocide, and any other inhuman activities. be safe usiogope.
 
manyama nyama kwanza ni uchafu tuu...mianamke mingi yenye mitako tako inakaharufu fulani hivi...portable ndo mpango mzima..zunguka dunia nzima kama utakutana na mtu na pesa yake kaoa li mitako tako....hao ni huko huko afrika kwenye umasikini!!!

hahaaa umetisha
 
Hongera sana....wengine wakiona picha kama hizi wanakumbuka kibonzo cha betina kijarida cha sani na stimu zao zinakatika

Una maana FIDO DIDO .?

Mimi Binafsi yangu napenda hizo figure Kama Za Mange ...hata Kama mkisema ni fido dido ...ila slander gals are sweet ...and active ...utaomba Poooooo !!
 
Una maana FIDO DIDO .?

Mimi Binafsi yangu napenda hizo figure Kama Za Mange ...hata Kama mkisema ni fido dido ...ila slander gals are sweet ...and active ...utaomba Poooooo !!

hahahahah....haya bana. Mimi na vi fido dido mbali kabisa, niliwahi kuchukua mmoja alipolala kitandani sikumwona kabisa...kitanda kikammeza.
 
Tatizo nyie wote mnafikiri watu wote tunapenda hio mitako tako yenu iliojaa kama magunia ya pilpili...wengine ni waafrika kwa rangi tuu lakini tuko kizungu zaidi tunapenda vi portable kama hapo mange nimemtamani duuuuh ndo type zangu hizo....

ehehehe ki-model
 
All in all, bikini inakaa vema kama una kijungu si haba. Si vijikalio... inapwelepweta...
 
Duuuhh....hata hatii nyege kabisa...huyu hauziki kabisa...

Hana mvuto...yaani...kama kenge..mkavuuuu...!!!
 
Pamoja mkuu, mi mwenyewe sijui ndio ushamba haya mawigi huwa yananitoa stimu kabisa yani. Navutwa sana na nywele halisi za mtu yani...

hahahaa...kila nikiwaza kwamba hizi sio zake basi mzuka unashuka kinoma...unakuta sometimes anazirudisha nyumba zikija usoni cunajua kama wazungu wanavyofanyaga...natamani nimuambie sio zako hizooo..ila freshi
 
Pamoja mkuu, mi mwenyewe sijui ndio ushamba haya mawigi huwa yananitoa stimu kabisa yani. Navutwa sana na nywele halisi za mtu yani...

hawajui tu jinsi nywele zao halisi zinavyowapendeza...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…