Ingia libraryAna urithi gani wa kumnyang'anya?????
Mwanaume akiamua Kuolewa ni personal choice, anayetaka kuolewa aolewe tu. Hata huko unakosema sio wanaume wote wameolewa. So kama taifa tunatakiwa kudeal na issue badala ya personal choicesKwahiyo kutukanana unaona ndio sifa ? Achana na demokrasia zisizo na kichwa wala miguu, je! Ukiambiwa wanaume waoane hapa Tanzania ili kuonyesha ukomavu wa Kidemokrasi mtakubali?
WE NAE !huyo mdada anaitwa MANGE JUMANNE KIMAMBI.baba mpare mama makonde ,baba yake alizaliwa USA aliludi tz na kazi yake kubwa alikua injinia wa ujenzi kama sijakosea .
mzee j4 ameshatangulia mbele za haki kwa kujipiga mwenyewe kwa risasi akiwa bafuni.ameacha mke.sijajua vizuri ana watoto wangapi.
MANGE ameishi saana dubai amesoma huko na alifanyakazi huko kwa muda tu,na baadae aliludi tz na kuna miss tanzania mmoja aliwahi kua mwanamitindo au mfadhili wake.kwa sasa ameolewa USA.kwahiyo inawezekana kabisa akawa na uraia wa huko ingawa mama yake yupo hapa.
Oh yeah??? Inachukua masaa mangapi kutrack ip ya mtu na kumpata full name? ficha ujinga wako.Hahaha basi kama uoga wa tz ni wakipumbavu sasa uoga wakwako sijui tuuiteje manake upo nyuma ya keyboard yako na id yako fake na kuwashtumu watz na uoga wa kipumbavu. Bila shaka we ndo kunguru (muoga) namba moja kwa watz.
Ardhi, nyumba etcAna urithi gani wa kumnyang'anya?????
mkuu naomba unidadavulie thamani ya hiyo green card kwa anaoishi marekani..mara nyingi nimeskia watu akiizungumzia hasa wahamiaji.....bado raia wa tz.... ana green card tu
Unapata kibali permanently cha kuishi na kufanya kazi na benefits zoote kama raia wa marekani meanwhile holding uraia wa nchi yako.mkuu naomba unidadavulie thamani ya hiyo green card kwa anaoishi marekani..mara nyingi nimeskia watu akiizungumzia hasa wahamiaji.....
Unapata kibali permanently cha kuishi na kufanya kazi na benefits zoote kama raia wa marekani meanwhile holding uraia wa nchi yako.
Oh yeah??? Inachukua masaa mangapi kutrack ip ya mtu na kumpata full name? ficha ujinga wako.
Watanzania waoga tena uoga wao wa kijinga mpaka unaudhi! Mnamwogopa eti kumsema mbovu Magufuli anawapelekesha kama maboga mnanung'unikia vyumbani kwenu na wake zenu mnaonewa mpaka kifo!!
Mtu anakaa jela 4 months kisa kasema kaota magufuli atakufa, who the hell is Magufuli? Na watz kama wewe mmefunga midomo hadi inanuka kama si upu uzi ninini! Kodi zote zinapelekwa chato halafu nyie mnaojiita wanaume ndo waoga kama swala shurti mwanamke ndo anawasaidia kuongea, ai!
shukrani mkuu...Unapata kibali permanently cha kuishi na kufanya kazi na benefits zoote kama raia wa marekani meanwhile holding uraia wa nchi yako.
Unaposema linchi lenu as if huishi huku....Haezi kuwa raia wa Marekani watamnyang'anya urithi wake wote wa Tz kwa hasira. Green card holder
Na hawaezi kumkamat akiwa Marekani maana marekani kisheria hafanyi kosa, only linchi lenu ndo kosa kumkosoa rais na wajinga wake
Alafu usitutukane tafadhali.....huna tajiriba ya kutunyoshea vidole....unaweza toa maoni yako bila matusiOh yeah??? Inachukua masaa mangapi kutrack ip ya mtu na kumpata full name? ficha ujinga wako.
Watanzania waoga tena uoga wao wa kijinga mpaka unaudhi! Mnamwogopa eti kumsema mbovu Magufuli anawapelekesha kama maboga mnanung'unikia vyumbani kwenu na wake zenu mnaonewa mpaka kifo!!
Mtu anakaa jela 4 months kisa kasema kaota magufuli atakufa, who the hell is Magufuli? Na watz kama wewe mmefunga midomo hadi inanuka kama si upu uzi ninini! Kodi zote zinapelekwa chato halafu nyie mnaojiita wanaume ndo waoga kama swala shurti mwanamke ndo anawasaidia kuongea, ai!
HhahahahahaHabari zenu wana JF
Ikiwa ni jumapili Mubashara kabsaaaa kwangu lakini kwa upande wa Prince Daud Albert Bashite(jina lake halali kabsa) alimaarufu kama Paul C. Makonda(jina feki) mambo ni Mabaya sana, Mange Kimambi na Askofu Gwajima wamemkalia pabaya sana ndugu Bashite kiasi cha kukurupukua kila uamuzi anaochukua bila kushirikisha Ubongo!
Kutokana na taarifa ya kutafutwa kwa Mange Kimambi yaani Mange kuwa Most Wanted katika hii serikali ya awamu ya Tano, inakuaje wanapata shida sana kumkamata mange, kipi kinawapa ugumu!? inamaana Mange kachukua uraia wa Marekani au Bado ni Raia wa Tanzania.?
#Live_Long_Mange
Jirani ndo nilikuwa kazini hivo combination ya kazi na usingizi na mtu kukubishia ujinga jf unakuwaJirani...ushafika kazini au bado ndo unajiandaa?
Kumrejesha mhalifu toka nchi nyingine ni mchakato wa kimahakama na mkataba kati ya nchi na nchi. Interpol hawana hiyo automatic power. Fuatilia Alex Masawe mpaka leo imekuwa ngumu kupata kibali cha mahakama kumrejesha aunganishwe kwenye kesi na Papaa Msofe. Kuna somo refu kuhusu jambo hili.Alisha pata uraia. Angekuwa bado tayari angekuwa amekamatwa kwa sheria ya Interpol na kuletwa TZ lakin km amefanya kosa la maana na wala siyo kwa huu umbea
E bwana ebu pita kushoto usinikaribishie ban wkt najaribu kukuheshimu afu unajiona unajua kunifundisha jinsi ya kuwasilisha point, wewe valid id yako iko wapi?Chizi humuona mzima ndie chizi yawezekana kabisa wewe ndo unapaswa kuficha ujinga wako. Kwanini mpaka wakutrack? Kwanini usitumie valid id yako mpk ujiite clueless? Point sio kupaza sauti na kuongea. Point ni jinsi ya kuwasilisha hoja yako. Ukiwa na hoja ila ukiwasilisha kwa kutumia makalio basi utaonekana na wewe bashite. So better na wewe uufiche ubashite wako.
Tusi liko wapi? Kwani kuna uongo watanzania hawana nidhamu ya Uoga na unawafanya wanakuwa mapopompo!? Mbaya zaidi hamtakagi hata kufungua akili kidogo mkavuka mipaka mkaona wenzenu wanafanya nini, yani zero zero zero kuanzia rais, ngai!Alafu usitutukane tafadhali.....huna tajiriba ya kutunyoshea vidole....unaweza toa maoni yako bila matusi