Unateswa na majigambo ya kidada! Una tatizo mkuu, yule ni mwanamke na yale niajihamno ya kike hata hivyo anawakljoke haters wake na si vingine. Na weww umechukia utadhan ni mdada. Halafu unasema amemchafua BASHITE. hahaha bashite anaambiwa ukweli sio anachafuliwa km kuchafua bashite ndo kachafua watu sasa km hujui. Acha mapenzi ya u fa fa fa fa simamia ukweli.
Nenda Na wewe huko akakuuzie unachosema anauza. Hajakuomba chochote muache Mange aishi atakavyo.
Wew umevurugwa Nini? , anakashfa kuliko hizo uyo ngegere unayeteteyaAcha kashfa kwa mwanamke. Uliambiwa anjiuza? Kuna watu mnapenda sana kuwakashifu wanawake wenye msimamo. Mange ni Msomi wa Masters aliyeolewa kihalali kwa ndoa Na edivorce kisheria. Hana shida ya kujiuza analea Watoto wake.
Kwan kutembeza bakuli ni dhambi?!Duh mkurupukaji hujaona bakuli analotembeza boss wako? Akaniuzie nn sasa,marinda?
Duh mkurupukaji hujaona bakuli analotembeza boss wako? Akaniuzie nn sasa,marinda?
Endelea kuuza tigo yako hapo Sinza Mori Mwanamke mwenzio mwenye akili zake michango inamiminika tu kwenye akaunti zake bila jasho
Usijali tupo wote tunauza pamoja ndio maana hata soko la mauzo unalifahami. Ila wateja wanalalamika hauna marinda kabisaa
Maria Sarungi Kafanya nn tena?Naombeni kujulishwa inawezekana nilipitwa na issue zake
Never underestimate the power and influence of a fool in the massive flock of peopleWarumi ni mleta ubuyu na udaku Kwa hivyo sishangai ni kazi yake humu jukwaani
Poa binamBinamu mambo