Mange Kimambi: Nimepata kiki ya kutosha

Na mikorogo yake sasa hatari kabisa,mwill full kunuka nuka mikemikali.

Ndio maanake hio misambwanda imekaa kiromantic sana
Ahhhhhh acha kabisa mkuu, yale makitu dizaini ya isha mashauzi tunayapenda wanaume, sasa sijui na nyinyi wanawake manapenda wanaume wenye misambwanda kama Bashite?
Ameshatoka kifungoni zamaan
Kwanza Warumi ameshatoka ban?
 
Unajua matukio yenyewe ndo yanapaisha watu kujulikana sana, kwa mfano kuna waliokuwa hawamjui makonda kama ni mkuu wa mkoa wamemjua mbaya zaidi mimi sikumbuki hata majina ya wakuu wengine wa mikoa, hata wilaya. Hamorappa nae kauza sana ingawa hizi ndo zile za kutokana na matukio.....hivyo mengine ni indirect consequences.....ingia you tube andika roma mkatoliki, zimejaa hizi ishu za juzi hadi pg4 hivi ....
 
Warumi mange alikufanya nini wote naona kama ni ma sadist [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi huyu mange kimavi utaifa wake ni wapi
 
MANGE KIMAMBI ANYANG'ANYWA WATOTO NA MAHAKAMA KUU YA LOS ANGELES .

HANA PA KUKAA WALA HELA YA KULA AOMBA MSAADA CHADEMA WAMSAIDIE ILI AENDELEE KUITUKANA SERIKALI MTANDAONI.

Kutokana na Mahakama kuu ya Los Angeles nchini Marekani kuridhika na hoja za wakili wa aliyekua Mume wa Mange Kimambi Bwana Lance Lowrey kua Mange Kimambi ameshindwa kuwalea na kuwatunza watoto wao wawili katika misingi ya nidhamu na maadili mahakama hiyo imefikia maamuzi ya kumnyang'anya watoto hao Bibi Mange Kimambi na kuwakabidhi kwa Baba yao rasmi.

Mahakama mbele ya Jaji Donna Holling Worth Armstrong kuridhika na hoja zifuatazo zilizowasilishwa na Lance Lowrey kupitia wakili wake ambazo ni;
i) Kua Mange Kimambi amekua akitumia pesa za matumizi ya watoto vibaya kwa kufanya manunuzi yake binafsi kama vile kununua vipodozi na mavazi yake binafsi hivyo kufanya watoto wake kushinda na njaa muda mwingi.

ii) Mange kutumia muda mwingi mitandaoni badala ya kuwalea watoto wake.Watoto hao wamekua na lugha za matusi kutokana na kukosa controll ya malezi ya mama.

iii) Tabia ya Mange Kimambi kulala na wanaume mbali mbali mbele ya watoto wake wadogo .

Hatua hiyo inamaanisha pesa ambazo mtalaka wa Mange Kimambi alitakiwa kua anatoa kila mwezi zimesitishwa hivyo kumfanya Mange Kimambi kukosa pesa kabisa za kuendeshea maisha yake huko nchini Marekani.

Nyumba ambayo alipewa na wakwe zake ili ajistiri na wanawe atanyanga'nywa muda wowote kuanzia hivi sasa.
Hii inamaanisha Mange Kimambi sasa anaingia rasmi katika kundi la mamillion ya Wamarekani wasio na makazi (Homeless) ambao mara nyingi hua wanalala kwenye majalala.
Baada ya kusitishiwa pesa za kujikimu na kupewa notisi ya kuhama kwenye kwenye nyumba ya wakwe zake tayari Mange Kimambi amemuandika E-Mail mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo akimuomba msaada wa fedha dolla 5000 za kujikimu katika kipindi hiki ambacho amechanganyikiwa na anahitaji kujipanga kukabiliana na maamuzi hayo ya mahakama.

Pamoja na kuomba msaada huo kutoka kwa mwenyekiti huyo pia ameomba msaada kwa diwani Ally Bananga na Katibu wa chadema Mkoa wa Dar Es Salaam Herry Kilewo ambao kwa pamoja wamemuhaidi kumtumia dolla 200.

Hata hivyo habari kutoka kwenye vyanzo makini ndani ya makao makuu ya chadema ni kwamba kuna mpango wa kumuingiza Mange Kimambi katika list ya waajiriwa wa chadema na kumuweka katika payroll ya chama hicho, hatua ambayo imepingwa na baadhi ya wajumbe wa kamati kuu kwamba ni matumizi mabaya ya ruzuku.
Mange anaomba michango hiyo ili aendelee ya kazi yake ya kuwatusi viongozi waandamizi wa Serikali ya awamu ya tano ,kuchochea uvunjifu wa Amani , kueneza chuki baina ya watanzania, kupika uwongo,majungu ,na uzushi .

Mange yupo katika msongo wa juu wa mawazo kwa sababu hawezi kurudi nchini Tanzania kutokana na kufanya makosa mbali mbali ya ya kimtandao ikiwa pamoja na kuwatusi viongozi waandamizi wa Serikali ya Tanzania. Hivyo tegemeo pekee analotegemea ni chadema kumlipa fedha ili aendelee kuishi Marekani na kuendelea kueneza chuki kwa wananchi, matusi kwa serikali na upotoshaji wa mambo mbali mbali .
 
linda_bezuidenhout_personal31 minutes ago
munguuu ndo mana najisikia kukata viuno tuuuu yani I am in such a good mood. Kumbe kuna GOOD NEWS LIKE THESE???????. @beautyyyy95 THAAAANKS FOR YOUR TAG!. Oooo linda hajui kulea hoooo nyoko nyoko akajiita eti yeye ni mjukuu wa mtume nyoooooo. WAJUKUU ZA WATUME HAWAKUNYANYAPAA WATU WALA KUWACHEKA NA KUWAFEDHEESHA. Oooo mimi nina pesa naweza kukulisha na wanao nyooo labda ungetulisha viporo vya takeaway. jamani tuache masiala TUMWOGOPE MUNGU. Alinicheka mimi nilivokuwa naswali oooo Linda anasali sana oooo anasali huku akitukana! Nani alikuambia ukiwa vitani uruhusiwi kusali. Wewe ulikimbilia waganga mimi nilimkimbilia Mungu Enzi za vita yetu NANI KASHINDA SASA. ULIFEDHEESHA WANANGU WATOTO WA NANI WANA FEDHEEKA SASA WANAISHI WITHOUT A MOTHER NYOOOOOOoooooooo. CHADEMA IKIKUSAIDIA NTACHOMA CARD YAO.
linda_bezuidenhout_personal20 minutes ago
SABABU WEWE ULIMFEDHEESHA KIONGOZI WA CHADEMA LOWASA NA WAJUKUU WA MWASISI WA CHADEMA NARRIKA MARLINDA KIMESERA NA DADA ZAKE ULIWATUKANA PAGES AFTER PAGES. WAKIKUSAMEHE VILE ULIVOMTUKANA LOWASA HIYO NI JUU YAO BUT WAKIKUSAMEHE WAKAFANYA KAZI NA WEWE NA ULITUKANA WANANGU BASI NTACHOMA CARD YAO. Kwani Kati ya wanachama wa chadema wakuoitumikia chadema bila kutegemea malipo na mimi Nimo. Kumpita hata LOWASA aliekuja baada ya kutemwa na ccm. Mimi it was with all my heart kama wanachama wengine wa dhati. Na sio kama wewe ulieanza kuifagilia upinzani juzi sababu ya shida na kuona ccm imekutema. Alafu unasungizia eti kisa freedom of media NYOOOOOOO mbona wakati wa campaigns ilikuwa hamna freedom ya media ndo nikawa natumiwa mimi news Enzi za LINDAUKAWA nikawa nawa habarisha watu. MBONA ENZI HIZO HUKUIKIMBIA CCM NA UKAIFAGILIA HUKU UKIDANGANYA WATU NYOOOOOO. MAISHA YAMEKUCHALAZA TEGEMEO LAKO LILIKUWA CCM UKAENDA FORGOOD KUJARIBU UKATEMWA UKARUDI NDUKIIIII USA UKAPEWA VIJI SENTI UPIGIE CAMPAIGN CCM THEN UKATEMWA KICHAA WA NINI. THEY USED YOU AND ABUSED YOU. Ukawa their biggest enemy [HASHTAG]#facts[/HASHTAG]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…