Mange Kimambi tunamchukulia poa sana

Yupo field huyo
Hayo ni maandalizi ya charity yake
But she's good in a way

Sent from my SM using Tapatalk
 
Khe khe kheeeeee huyo mange si ndie aliyetoa video sijui clip akisema mtoto wa kajala kaliwa kiboga na akina aslay eti leo anamteea aiseee mnafiki hana alama
 
Khe khe kheeeeee huyo mange si ndie aliyetoa video sijui clip akisema mtoto wa kajala kaliwa kiboga na akina aslay eti leo anamteea aiseee mnafiki hana alama
Binafsi huwa naona ana unafiki utetezi huwa anaangalia kama ni mtu wake ama laa, yeye ndiye bingwa wa kubully watoto wa mahasimu wake.
 
tangu lini kichaa akawa mshauri mzuri?
 
Binafsi huwa naona ana unafiki utetezi huwa anaangalia kama ni mtu wake ama laa, yeye ndiye bingwa wa kubully watoto wa mahasimu wake.
Sure.. Mtu kama anamaslahi nae atamtukana matusi ambayo hayaelezeki.
 
Ulchokiandika n hukp insta pekee ndo watakuelewa vzr
So jes stick there

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…