richaabra
JF-Expert Member
- Jul 12, 2016
- 1,472
- 3,511
Leo katika mtandao wa instagram kumeibuka mvutano mkubwa na vijembe kati ya mange na lemubebezz tajiri mkubwa lemutuz
Vijembe vilianzishwa na lemutuz kuwa mange ni kibibiz kisichokuwa na kazi maalum,yaan ni jobless na anashinda kwenye mitandao kufwatilia ya watu
Jioni hii mange naye kajibu mapigo eti lemutuz ni kubwa jinga ,kuwa ameshindwa kujenga kwao na anaishi hapa mjini kimaigizo,kujionyesha kwingi na hela hana jionee[emoji116]
Vijembe vilianzishwa na lemutuz kuwa mange ni kibibiz kisichokuwa na kazi maalum,yaan ni jobless na anashinda kwenye mitandao kufwatilia ya watu
Jioni hii mange naye kajibu mapigo eti lemutuz ni kubwa jinga ,kuwa ameshindwa kujenga kwao na anaishi hapa mjini kimaigizo,kujionyesha kwingi na hela hana jionee[emoji116]