Sidhani kama Le Mutuz atapungukiwa kitu akiamua kuishi maisha ya faragha. Siyo tu kwa umri ila pia kwa dhamira ya kutunza heshima na legacy ya Mzee wake ambaye aliitumikia hii nchi kwa moyo wake wote.
Naumia sana kuona William anatumia mitandao kufanya majibishano yenye kumuacha uchi yeye na family yake.
Am out