Nyooo, utahisi kila mtu ni Mange. Muhimu umeelewa point, diploma hazijakusaidia lolote! Hivi kuna mzee yeyote wa umri wako unaemjua anahangaika kugombana na wanae mitandaoni?
Just to be fair...kwa nini na hao wanae wagombane na mzee wao mitandaoni?
They can be wrong but point ya huyu mzee kuwa mzee ninini kwa wanae kama anapeana mipasho nao?
Sawa, point well taken.
But on the flip side, why do you kids feel the need to beef with your elder?
Isn't respect supposed to be a two-way street?
Theres no excuse to an old man fussing about my kids or mother,..
There are no excuses for any grown ups to hurl insults at each other on social media.
Low down is low down.
lkn be honest, wazee wazima wangapi wako mitandaoni wanatukanwa mpaka unachoka na hawajibizani na watu zaidi ya huyu Lemutuz?
There are no excuses for any grown ups to hurl insults at each other on social media.
Low down is low down.
At some point, u have to raise your voice. Theres a limit to respecting somebody who don't respect u, they need a piece of sh..t they get it.
This fool right here needs psychiatric treatment.
Somebody can be a young fool but whats the point of him being 70yrs old fussing on social medias with a bunch of brags and lies?
1] Uzee ni kuanzia umri upi? Linda naye anahesabika kwenye uzee?
2] Mtandao ni msitu. Na watu wasipotumia majina yao utajua nani ni nani? Huenda kuna wazee kibao tu ambao hujitoa fahamu na kutapika mitusi kwenye mitandao.
If that's the attitude then there's no hope for civility.
He talks junk, you clap back. You throw shade, you catch fade.
A vicious cycle.
Do you guys know each or something?
Now that - 70yrs - is a major stretch. He ain't that old now.
If its about his stupid blog, he doesnt need to be so low to get viewers! Come on. Kesho na kesho kutwa utamfata mtu kama lemutuz akushauri lolote kama mkubwa wako? Lets be honest tafadhali, Mange mkorofi, ila huyu baba punguani wa hali ya juu.
He is damn 60 minus 3, my dads age!
I don't know this man, i read his stupidity here, one word, he is a fool. Thats all
Mange yeye siyo punguani?
Mbona wote ndo walewale tu...
Ila naona Le Mutuz anakukera sana eeh?
Lakini le mutuz yeye anafahamika kama mtu mzima,so inabidi yeye wakati mwingine akubali kumeza machungu na kukaa kimya kuliko kutupiana maneno na wadogo zake insta kwani yeye kuna watu wengi wanamwangalia kama role model,kwa hiyoanavyoendelea kutupiana maneno na vijana wadogo anakuwa anweka mfano mbaya hata kama andai kuwa anweka FACT na EVIDENCE lakini ushauri wangu kwake angekua anajitahidi kuuchuna tu.1] Uzee ni kuanzia umri upi? Linda naye anahesabika kwenye uzee?
2] Mtandao ni msitu. Na watu wasipotumia majina yao utajua nani ni nani? Huenda kuna wazee kibao tu ambao hujitoa fahamu na kutapika mitusi kwenye mitandao.
Mange mkorofi sikatai,
Point yangu hii nikuulize naomba nijibu, busara za utu uzima wa lemutuz ziko wapi kwa mkorofi mange kama lemutuz anakaa mtandaoni kujibizana na Mange?
Then why don't you pay him no attention?
Going back and forth with does nothing but give him the oxygen of publicity he so seeks.
Don't you think?
Lakini le mutuz yeye anafahamika kama mtu mzima,so inabidi yeye wakati mwingine akubali kumeza machungu na kukaa kimya kuliko kutupiana maneno na wadogo zake insta kwani yeye kuna watu wengi wanamwangalia kama role model,kwa hiyoanavyoendelea kutupiana maneno na vijana wadogo anakuwa anweka mfano mbaya hata kama andai kuwa anweka FACT na EVIDENCE lakini ushauri wangu kwake angekua anajitahidi kuuchuna tu.