- Huko majuu hana kazi wala mahali pa kuishi, Mzungu kam divorce kisa hataki kazi kutwa kutukanana kwenye mitandao na maadui ambao wameishia kuwa marafiki za Mzungu mume wake wa zamani, sasa kimewachwa hakina mbele wala nyuma, kazi kutukana tu hahahahaha watoto 3 Baba mbali mbali kuna Wabongo na Mzungu combination, umri miaka 41 badala ya kujionea huruma kinakazana kutukana watu, hahahahahahaa huku bongo hana pa kuishi,
- Halafu kinatukana watu kuwa ni watoto wa nje kumbe chenyewe kimezaliwa hivyo hivyo nje, maana baba yake alikuwa na mke anaitwa Gania akazaa naye watoto 2 Kimambi na Anil, sasa kiulize kilizaliwa na nani na wapi? hahahahahaha yeye hana kazi wala hana maisha lakini kila siku kushambulia watu wenye kazi na maisha, hahahahahahaha
le Mutuz