Shepherd
JF-Expert Member
- Dec 14, 2012
- 2,428
- 1,656
Aje si useme.Si na mwambia tu ukweli wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aje si useme.Si na mwambia tu ukweli wake
rudi kwenye comment yako ya kwanza utajijua wewe ni gebwe.Kwani nimesema ni sawa au umenisoma kimakengeza hyo ndo tabia ya wanaume wa kibongo hata Dar hadharani wanajojoa
ndio kwasababu huyu jamaa anachafua mazingiraJamani picha ina miaka 3 leo mnairudisha hapa??
Haaaa haaaaaUnataka wavunje rekodi ya kuwa harusi iliyodumu kwa muda mfupi duniani kulizo harusi zote? na hivyo kuingizwa kwenye Guinness book of records?
King wa mitandao yote ya kijamii Tanzania lemutuz amepigwa picha akichafua mazingira kwa kujisaidia haja ndogo barabarani kwa kweli ni aibu kwa mtu ambaye ndio ilitakiwa kupinga vikali uchafuzi wa mazingira yeye ndio anaonekana kukiuka sheria kwa kujisaidia barabarani wakati ni marufuku mtu kujisaidia barabarani kwasababu uchafuzi wa namna hii unaweza kusababisha magonjwa ya mripuko!View attachment 370419
Hivi siku hizi mkienda kujojowa naona mnabeba tissue ni nini hasa matumizi yake? Maana mbunye inatakiwa ioshwe na maji kama hamuyaamini maji ya public area kwa nini msiseme tuwe tunawanunulia maji special muweke kwenye mikoba yenu?Ila wanaume mumezidi hao ni wa Asia huko ila wakibongo nadra sana
Hao wanaojisaidia nje ni wachafua mazingira tu tena hao wadada ndo wanajitaftia uti vizuri sasa kila mmoja akimwaga cheche sizinawarukia na kupata magonjwa
Lakini ujumbe wake ni hot.......usijifanye mstaarabu, kuwa mstaarabuhii picha ina zaidi ya mwaka
King wa mitandao yote ya kijamii Tanzania lemutuz amepigwa picha akichafua mazingira kwa kujisaidia haja ndogo barabarani kwa kweli ni aibu kwa mtu ambaye ndio ilitakiwa kupinga vikali uchafuzi wa mazingira yeye ndio anaonekana kukiuka sheria kwa kujisaidia barabarani wakati ni marufuku mtu kujisaidia barabarani kwasababu uchafuzi wa namna hii unaweza kusababisha magonjwa ya mripuko!View attachment 370419
Huyo aliyejipinda hapo atakua mgonjwa aisee
MTU mzima aliye balehe nitamkatazaje mana kila cku naona wanaume wanakojoa hata pembeni ya foleni. Hii ni tabia ya wanaume wa kibongo
Hawa wanajuana sana wana agenda ya siri.Huyo le mutuz inabidi amuoe huyo mange, wenyewe wame match.kutwa kurushiana maneno back and forth, bora wamalizane le mutuz achukue jumla.maana wanayoyagombania hayana kichwa wala miguu
Naomba uwe my wife wangu manake una akili sana! Tena ngoja nikuambie kitu kimoja; Bibi yangu alikuwa na msemo mmoja, sema alikuwa anatumia kilugha and am not good on it lakini tafsiri yake kwa Kiswahili ni sawa na kusema endapo mkojo ingekuwa ugonjwa, watu wangetamani kufa kabisa endapo pasingekuwa na tiba ya haraka! Umeipata point ya bibi yake mimi?! Na mkojo ukishakubana, haina cha mtoto wala mtu mzima; haina cha mwanamke wala mwanaume! Ukikubana lazima utalazimika kuumwaga tu hata kama ni mbele za watu! Tena kwa wanawake ndo kabisa, manake sie angalau tunaweza kuipiga roba shingo huku tukitafuta penye uafadhali!Mange lemutuz kakushinda insta una mleta huku mbona hyo ni tabia ya wanaume wengi wa kibongo kuchimba dawa popote