BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Kwi kwi kwi lol! Hawataki sura zao zionekane kwa kuogopa mashambulizi toka upande ule mwingine.
Mbona kama anahojiwa wa wahuni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona kama anahojiwa wa wahuni?
[emoji2] [emoji1] [emoji3] [emoji2] [emoji3] [emoji3]Babu keanu
Mkuu naona jamaa nae anatafuta six packs!
Mkuuuuu
Uko sahihiSio uwafuata watu maarufu tu, bali uwafuata watu maarufu wanaofanya ujinga kwenye jamii.
Kumbe Mange na Lemutuz ni mtu na mwanae. Sasa mbona wanachambana kama mtubakiBabu keanu
Ujinga tu unawasumbuaWanajiita masocialite
Le Mutuz akiendelea kumfuatafuata Mange ataadhirika
Hahahaaaaaaaa......
Halafu tabia zao sawa sawa hayo anayo yasema kwa huyo binti ni kama yeye mwenyewe anajitazama kwenye kioo kisha ana jing'ong'a ,kweli nyani haoni kundule.watu wazima hovyooo!!!!
True kabisaHalafu tabia zao sawa sawa hayo anayo yasema kwa huyo binti ni kama yeye mwenyewe anajitazama kwenye kioo kisha ana jing'ong'a ,kweli nyani haoni kundule.