balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Mwenzio anakula life kwa papaa Trump mzee wa Trump Force Onebaba yao aliwapeleka watoto wake shule nzuri miaka hiyo ila hakuna walichokipata bora sisi tuliosoma st kayumba mafanikio tumeyaona ila mange kuhusu shule anyamaze tu ndo laana inamsumbua kuchezea nafasi ya elimu bora
Yeah Ila hiyo ya Leo mhhhh...Huko instagram usiku wa leo kachafua hali ya hewa hatari
Alafu mods naona wanamuogopa kila post kuhusu yeye anaitia kufuli au kuifuta
Aje na real name wakati mimi na wewe tuna fake IDs,mfuate kule kwa real name afu tuone..otherwise shut the https://jamii.app/JFUserGuide up..Kawazoea hao wa inst...huku hatuwezi kama vipi muite aje
Huko instagram usiku wa leo kachafua hali ya hewa hatari
Alafu mods naona wanamuogopa kila post kuhusu yeye anaitia kufuli au kuifuta
Yeah Ila hiyo ya Leo mhhhh...
Mbona unamchukia ghafla [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]mange hana mkopo yule aliishia la saba elimu yake kaunga unga sana ana certificate ya uarabuni ya sayansi kimu
mkopo wa nini kwani uwezi soma chuo bila mkopoASEME ALIPEWA MKOPO KUSOMA CHUO GANI
Acha uongo mbuzi wewe unajifanya unajua sana watu na chuki zako za kizeeeebaba yao aliwapeleka watoto wake shule nzuri miaka hiyo ila hakuna walichokipata bora sisi tuliosoma st kayumba mafanikio tumeyaona ila mange kuhusu shule anyamaze tu ndo laana inamsumbua kuchezea nafasi ya elimu bora
Kwendaaaa malaya wewe usitafute kiki humuuu alafu unajitia unawajua watu sana wewe mbwaana masters ya instagram posts management
Atalipaje mkopo na alikuwa na mzazi mwenye elaASEME ALIPEWA MKOPO KUSOMA CHUO GANI
yupo miaka nenda rudi ana id kama salasini hivi
Madongo yake yote hua anayapata....
usitafute kiki kupitia mimi wewe .huna hadhi ya kuongea na mimi na kukuthibitishia hilo sikujibu tena nakuignoreKwendaaaa malaya wewe usitafute kiki humuuu alafu unajitia unawajua watu sana wewe mbwa
mbona mwandiko wa vanenesa ni kama wa mange hahahah mange bhana ngoja kwanza nikasome alichoandika bila kupita kule najihisi kupungukiwausitafute kiki kupitia mimi wewe .huna hadhi ya kuongea na mimi na kukuthibitishia hilo sikujibu tena nakuignore
ni yeye mkuumbona mwandiko wa vanenesa ni kama wa mange hahahah mange bhana ngoja kwanza nikasome alichoandika bila kupita kule najihisi kupungukiwa
huu mwandiko huu.......... na kutaja mbwa anapenda sanani yeye mkuu
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] sina hadhi kweli naongeaje namnuka kwapa kama weweusitafute kiki kupitia mimi wewe .huna hadhi ya kuongea na mimi na kukuthibitishia hilo sikujibu tena nakuignore