Teh teh mkuu naona stress zako za kuimba #Kazi na bata unazihamishia kwangu,pambana na hali yako chief.Utashawishiwa kuandamana na MATATIZO yako wala siyo MANGE KIMAMBI, ni suala la muda tu.
Kwa sasa JIWE kakaba mpaka mnaishi kama digi digi, mmebakiza kuimba ASIFIWE JIWE ASIFIWE huko MAKANISANI na MISIKITINI.
Na mimi nafuatilia hii 'battle' kwa karibu mkuu. Kumbe hadi kwenye gossips kuna kubishana kwa 'hoja'Hivi hao sijui kina Zari na Mange mnaowaongelea hapa ndio kina nani hao? au mimi naishi dunia nyingine?!!
she is insane....wajinga tu ndio bado wanamsoma.Huyu Dada sikuhuzi sijui amekuwaje dakika 2 anaitukuana familia ya msanii Diamond platnumz baada ya muda kidogo anasema anamtaka Diamond kimapenzi yaani anaonekana Yuko obsessed na Diamond
Either Diamond Amefanya Jambo zuri au baya yeye anatukana tu.
Kipindi anafanya harakati za siasa nilikuwa naona kama anajenga hoja Kama mtu mwenye utimamu lakini kwa sasa dishi channel zimekata
Anaoyuchagulia viongoziNever underestimate the power of stupid people in large groups.
~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~George Carlin~~~~~~~~~~~~~
Tena hawa ndiyo wabaya sana kwasababu wanakuwa na mashabiki wengi wasiokuwa na kichwa wala miguu. Kule Uchina aliyemrudisha Mao Zedong madarakani mwaka 1966 kipindi cha The Curtural Revolution alikuwa ni mke wake Jiang Qing aliyekuwa mwigizaji wa filamu. Binafsi huwaga siwapuuzi watu wa hivi kwasababu they are reckless and volatile.