Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
hahahaha umenikumbusha jina la yule jamaa miminimkulimaakachekasanamangenimsaniiakachekasana
Ana kiuno kizuri sana sema hajui kukatika.
πππππππNimeshindwa kuelewa hiyo picha kichwa kiko juu ama chini huo mgongo haueleweki umeelekea wapi
Mr Ebbo alisema ulishawi kuona mbusi ikirembua baadoo hijaona hijaona baado..mifupa mitupuEti wananzengo mnijuze kidogo ,hivi huyu mwanadada Mange Kimambi kimemtokea nini haswa siku hizi mpaka ameanza kusapoti kazi za Diamond Platnumz??
Ninaona siku hizi analeta leta shobo sana kwa diamond mara aposti akicheza video ya jibebe , mara ahamasishe watu wazidi kumsapoti Diamond etc.kiukweli nimeshindwa kumuelewa kabisa.
Mashabiki wa Ally Kiba wanaumia sana kumuona Mange kawageuka siku hizi na kuhamia kwa Diamond.
Ila Mondi ameshasema yeye ni kama maji usipokunywa utayaoga tu, taratibu taratibu mmoja mmoja anaanza kunyooka .View attachment 850744View attachment 850745View attachment 850746View attachment 850747
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] haya bhana.Ambassoder katika ubora mkuu
Hata wewe pia mbea ndio maana tunakuona kwenye huu uzi.
Huyu jamaa sijui aliwaza nini kujiita hivyo.hahahaha umenikumbusha jina la yule jamaa miminimkulimaakachekasana