Mange unataka kufundisha nini wanawake?

Astaghafirullah,Innalillah Wainaillah Rajiun!!!huu ni msiba mkubwa
 
Alaf pia kuhusu suala la love in dinial sio kweli kwa wote.si kila anayemfuatilia ana love/hate her.sometimes watu wanatafuta entertainment tu,and idiots are the best entertainers
 
Got ya.

Ila huyo mdada anatesa sana hisia za watu na keshalijua hilo.

Kweli, watu wanadai hawampendi ila hawaachi kumfuatilia.

Leo kala nini, kavaaje, kakondaje, ametoka kwenda wapi, hajatoka wiki sasa, hajapiga picha na mumewe etc.
 

Mkuu, heshima mbele. Shukran jazilani kwa maneno yako ya kiungwana. Real recognize real.

Kuhusu afya ya akili ya huyo mtu, labda kweli hazimtoshi. Kwa vile simjui basi hata hilo la utimamu wa akili nalo silijui.

Ila inastaajabisha kidogo kuona mtu ambaye huenda akawa ni al junun ku command attention kiasi hiki tena kutoka kwa watu ambao wao wanajiona wako timamu.

Don't you think?
 
Alaf pia kuhusu suala la love in dinial sio kweli kwa wote.si kila anayemfuatilia ana love/hate her.sometimes watu wanatafuta entertainment tu,and idiots are the best entertainers

Be that as it may, there is a clear fixation on her and everything about her.
 
I agree,tuna mpa outlet ya kusambaza upuuzi wake,kila siku post mpya za kumuhusu,hata sie wengine tuliokuwa hatumjui tumemjulia humu JF.life is gettin boring for many my nigga.monotony is a mufucka.ratiba za watu skuiz ni ofisini,shule,home,bar,beach kwisha.watu hawako adventorous kabisa,no hobbies no extra carricular activities no nothing.lazma watu wapoteze muda insta hawana jengine la kuwashuhulisha
 
Mange Kimambi is Kim Kadarshian of Tanzania, she is never tired of attention and Le Mutuzz is Kanye West of Tanzania. These two should marry each other, they seem to fit together.
 
Alivyo na nuksi ata angekua nayo ya gold watu wangevumbua dhahabu na kumuacha hapo hapo nani akae na mtu anaropokwa kama kapandwa na mashetani
Ha ha ha. Loool! Nimecheka hadi machozi. Walahi huyu ana mashetani sio bure
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] lmao,English ngumu
 
Nafikiri ata mwenyekiti wa dhambi shetani na yeye uwa anafungua page ya mange kuchukua uzoefu maana hivi vitu vimekuwa vipya kwake aisee
 
alichosema ni ukweli mtupu, wanawake wengi wanatumia pussy as part of getting something. lakin hapa jukwaani watamponda hadi basi...huwa namfurahia lara1, yuko very open!!!!!. hapa mange anawakumbusha tu wajibu wenu, kuwa msibweteke atiii...
 
Naona director Joan anamlilia AMATUS LYUMBA Instagram.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…