Ashushie na panadol.
Yani tumkwepe so called fisadi mmoja tukawakumbatie mafisadi elfu moja!!
tatizo nyani huwa haoni kundule, mange anapenda kuongea ya watu wakati ya kwake kibao tunayajua, ndoa yenyewe huko ishamshinda,mzungu kachoka tabia zake,mange anafanya kulazimisha ndoa,watu tunajua ila tumenyamaza, sasa yeye kila kukicha ni kuattack watu,huyu akili zake nadhani zipo kwenye chupi au yupo na depression inayomfanya awe na hizo tabia za kijinga
Unajifanya mtu wa system kuyajua mengi!
Hainisaidii kwa sasa.. dumb or Not, innocent or Not.
Nitamchagua Lowassa.
Narudia tena mimi mtu wa JF nipo nyuma ya keyboard, nayajua machache, ni Mtanzania nimeichoka CCM.
Saga chupa shushia na whiskey.
Ni ngum kwa mwanaume yyte kuvumilia domo la mwanamke kama mange, sembuse mzungu????? Am so wandazz huyo mzungu anahali gan na hyo ndoa yake
Huyo mwanamke ni meli linalokaribia kuzama
kiukweli, yani hapo alipo wale watoto ndo wanafanya ndoa iwepo,ila wakikua kidogo,mzungu nadhani atacvhapa lapa aisee,mange ndoa imapumulia mashineni na hataki kuweka ukweli,
Lowassa tunakupa kuraaaaa ambae hatakiiiii afeeeee babaa
Naa aachike maana hakuna namnaa
na akiachika sijui nani atamuoa kikongwe yule,kakomaaaa,halafu sura mbovu kama jalala
Na domo lake lililovimbaa
utadhani papuchi ya kondoo
Huyo bibi
Badala ya kuuza sera anaattack mtu..... ??????
Nilikiunfollow kabisa maana naona anabore....
Au waliyoandika kwenye gazeti la wembe labda kweli
Kuna watu hapa watabisha mpendwa. Hebu ni-PM Id yako kule insta ili niwe shahidi wako.
Ukilala ukiamka, ukila ukishiba, ukinya ukimaliza basi utaanza kuwasema UKAWA.
Back to the point, Lowassa wa leo si Lowassa wa miaka 8 iliyopita, you are judging the different person. As u know people change, every saint got a past and every sinner has a future, only God can judge us all coz anaona zaidi ya macho ya binadamu, he looks at the heart!!
Kama Mungu ameamua Lowassa awe rais wa Tz na atakuwa tu, kama wewe na ndgu zako CCM mngekuwa na ushahidi mngemshtaki since then sio mnatoa povu leo, no prove no right to say, watch your moves mwanamke.
Jinsi unafatilia ya UKAWA surely u must be our Biggest Fan, ila unafki unakusumbua. Halafu uwe na adabu, Lowassa ni kama Baba yako kumdhalilisha hivyo utalaaniwa zaidi ya hapo.
Mange u don't look good when u make others look bad,coz maneno yako toward Him they reflect urself,dats y ulishindwa na ubunge, jiulize why ulishindwa! You are not good enough for our country. Halafu ni njaa tu zinakusumbua ubunge ungekuwa wa kujitolea bila pesaaa ungetoka USA kuja kugombea!
Shame on u, mxieeeww..
Lowasa Ana Parkinson's na loss of memory ndio maana hakupata nomination .He is sick period
Lowasa Ana Parkinson's na loss of memory ndio maana hakupata nomination .He is sick period