Mange, you don't look good by making others look bad, jitathmini!

Mange, you don't look good by making others look bad, jitathmini!

prado

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2015
Posts
216
Reaction score
129
Ukilala ukiamka, ukila ukishiba, ukinya ukimaliza basi utaanza kuwasema UKAWA.

Back to the point, Lowassa wa leo si Lowassa wa miaka 8 iliyopita, you are judging the different person. As u know people change, every saint got a past and every sinner has a future, only God can judge us all coz anaona zaidi ya macho ya binadamu, he looks at the heart!!

Kama Mungu ameamua Lowassa awe rais wa Tz na atakuwa tu, kama wewe na ndgu zako CCM mngekuwa na ushahidi mngemshtaki since then sio mnatoa povu leo, no prove no right to say, watch your moves mwanamke.

Jinsi unafatilia ya UKAWA surely u must be our Biggest Fan, ila unafki unakusumbua. Halafu uwe na adabu, Lowassa ni kama Baba yako kumdhalilisha hivyo utalaaniwa zaidi ya hapo.

Mange u don't look good when u make others look bad,coz maneno yako toward Him they reflect urself,dats y ulishindwa na ubunge, jiulize why ulishindwa! You are not good enough for our country. Halafu ni njaa tu zinakusumbua ubunge ungekuwa wa kujitolea bila pesaaa ungetoka USA kuja kugombea!

Shame on u, mxieeeww..
 
muulizeni baba yake kwa nini alijiua.? si ye anajua sana kutoa siri za watu....
 
Anakera sana, u noe usiwafanyie watu usiyopenda kufanyiwa anamsema sana huyu Baba,hivi angekuwa ni baba ake ye angejisikia vizuri no matter da reason, mafisadi wangapi hawaoni kila kukicha Lowassa, hawaoni kina chenge,tibaijuka,na wengi tu mafisadi wamepita kura za maoni za ccm ila kakazana tu Lowassa
 
Kama ni kuumwa kila mtu ni mgonjwa na marehemu mtarajiwa,no one knows his/ her future,wote tunaishi kwa Neema tu na Mungu ni wa wote....asijifanye ana final say over Tanzanians,tutakamilisha maamuzi yetu 25October
 
Ukilala ukiamka,ukila ukishiba,ukinya ukimaliza bc utaanza kuwasema UKAWA.

Back to the point,LOWASSA wa leo si lowassa wa miaka8 iliyopita,u a judging the different person....as u know people change,every saint got a past and every sinner has a future,only God can judge us all coz anaona zaidi ya macho ya binadamu,He looks at the heart!!

Kama Mungu ameamua Lowassa awe rais wa Tz na atakuwa tu,kama wewe na ndgu zako ccm mngekuwa na ushahidi mngemshtaki since then sio mnatoa povu leo,no prove no right to say,watch ur moves mwanamke.

Jinsi unafatilia ya ukawa surely u must be our Biggest Fan,ila unafki unakusumbua.Alfu uwe na adabu Lowassa ni kama Baba yako kumdhalilisha hivyo utalaaniwa zaidi ya hapo.

Mange u don't look good when u make others look bad,coz maneno yako toward Him they reflect urself,dats y ulishindwa na ubunge,jiulize y ulishindwa! You are not good enough for our country. Alf ni njaa tu zinakusumbua ubunge ungekuwa wa kujitolea bila pesaaa ungetoka USA kuja kugombea,shame on u,mxieeeww

Anatafuta viti maalum..njaa mbaya sana wajameni...
 
Anakera sana, u noe usiwafanyie watu usiyopenda kufanyiwa anamsema sana huyu Baba,hivi angekuwa ni baba ake ye angejisikia vizuri no matter da reason, mafisadi wangapi hawaoni kila kukicha Lowassa, hawaoni kina chenge,tibaijuka,na wengi tu mafisadi wamepita kura za maoni za ccm ila kakazana tu Lowassa

Hahaha...amseme chenge haogopi?ajaribu kumsema chenge atakiona kichapo chake...
 
njaa mbaya nasikia kaolewa na mzungu..siku hizi wazungu wanajua hadi bei ya choroko kg ni shingap..
Na wazungu walivyokua waumini wazuri wa ABU DHABI sidhani kama kutakua kunatamanika huko upande wa pili wa samaki...Eti bwana el chappel nasikia huyu dada kabla hajaolewa alikua ni KAHABARIKA wa mjini?
 
Last edited by a moderator:
Nikweli lakini mm napita waungwana Mungu ndo mwamuzi wa mwisho tumuombe yeye atusaidie maana mimi na wewe hatujui kesho yetu!!mi napita tu!!jamani.
 
Na wazungu walivyokua waumini wazuri wa ABU DHABI sidhani kama kutakua kunatamanika huko upande wa pili wa samaki...Eti bwana el chappel nasikia huyu dada kabla hajaolewa alikua ni KAHABARIKA wa mjini?

mkuu mlango wake wakuzimu ni mkubwa sana
 
Last edited by a moderator:
Na wazungu walivyokua waumini wazuri wa ABU DHABI sidhani kama kutakua kunatamanika huko upande wa pili wa samaki...Eti bwana el chappel nasikia huyu dada kabla hajaolewa alikua ni KAHABARIKA wa mjini?

mkuu mlango wa #MANGE wakuzimu ni mkubwa sana
 
Last edited by a moderator:
Ukilala ukiamka, ukila ukishiba, ukinya ukimaliza basi utaanza kuwasema UKAWA.

Back to the point, Lowassa wa leo si Lowassa wa miaka 8 iliyopita, you are judging the different person. As u know people change, every saint got a past and every sinner has a future, only God can judge us all coz anaona zaidi ya macho ya binadamu, he looks at the heart!.

Madam, nijuze tu, alichobadilika Mheshimiwa ni nini? Au kupanda daladala, kunywa chai Tandale na kujaza nyomi ndio alama za kubadilika kwake?

Hivi hujui au hujafuatilia umafia wa rasilimali uliofanywa na viongozi wa nchi hii akiwemo huyo unayemtetea? Unajua kisa cha kupeleka maji maeneo yenye uchimbaji wa dhahabu kwa wingi kuliko jimboni kwae kipindi alipokuwa waziri wa maji? Unajua madeal yake na yule Mzee asiyemwamini hata Mungu aliyemuumba? Unajua 'genge' lake vizuri? Unajua kwanini anaumwa ugonjwa usiofahamika vizuri chanzo chake? Unajua kwanini pamoja na kuonekana yuko taabani lakin bado anakazania kupambana? Is it for love?

Shida yangu ni kukuuliza, unamjua kweli unayemtetea? Au umevutiwa na kiitikio cha Mabadiliko?!

Watanzania ni watu wa ajabu mno. Hakika tunastahili tuzo! Yaani leo hii unamtetea mtu anayesababisha unalipa umeme kwa gharama za juu na usio na uhakika kwa maslahi yake na watu wake (whoever concerned, hata km na Mkulu yumo) kupitia madili waliyoshirikiana na hao maswahiba wake enzi hizo?!

Hivi unachokiona kwa ndugu huyu ni nia ya dhati kweli ya kuleta hayo mabadiliko yanayoimbwa au ni kuchukua power kulinda maslahi yake na kuwakomesha wakina fulani? You really need some church my sister!!!

Sisapoti anachokifanya Mange, lakini come ooon, have some brains basi, coz huyo unayemsema (Mange) ni kama kichaa aliyekuibia nguo halafu nawe unamkimbiza ukiwa uchi. Hawa jamaa sio wa kuwatetea. Wote ni wash****!

Bora ungemkemea tu Mange kudhihaki afya ya mheshimiwa, lakini usiseme huyo jamaa ame'change, HELL!

WAKE UP TZ!!!
 
Back
Top Bottom