Mangi aingizwa cha jiji

Mangi aingizwa cha jiji

Kama ulikua hujui kuwa duniani kuna MCHAGA amewahi kutapeliwa MILIONI SITA NA KUPEWA SANDUKU wacha nikufahamishe;-
Katika hali isio kuwa ya kawaida kuwahi kutokea duniani,
Mwanaume mmoja anayefahamika kwa jina la POLINARY MWANGA,
Ambae ni mkazi wa KIBOSHO mkoani KILIMANJARO,
Ametapeliwa kiasi cha milioni sita na laki saba,
Na mtu aliyejitambulisha kuwa ni mganga wa kienyeji,
Baada ya kwenda kwa mganga huyo akitaka utajiri,
Ili kuondokana na umaskini katika maisha yake,
Akiongea na chombo kimoja cha habari POLINARY alisema kuwa;-

"Nilipata milioni sita na laki saba nikaamua kwenda nazo kwa mganga ili nipate utajili,
Nilipofika mganga aliniambia hilo ni jambo rahisi sana,
Kwani hiyo ndio shughuli yake inayo muweka mjini,
Na watu wengi wamepata utajili kupitia yeye baada ya kutoa kiasi kidogo cha pesa walicho nacho,
Alinitajia majina ya watu wengi matajili akisema kuwa,
Watu hao wote wamekua matajili kupitia yeye,
Aliposema hivyo nilishawishika na kumuamini,
Akaniuliza unataka uwe tajili kama nani hapa Tanzania,
Nikamwambia nataka kuwa tajili kama MENGI,
Mganga akaniambia hilo limeisha lakini,
Natakiwa kutoa pesa yote niliokuwa nayo,
Na akasema kadri ninavyotoa pesa nyingi ndivyo nitakavyo kuwa tajili zaidi kuliko mtu nilie mtaja,
Basi nikamwambia mimi nina milioni sita na laki saba,
Mganga akasema tena hiyo ni nyingi sana,
Hiyo pesa nikitoa nitakua tajili kuliko mengi na nitamfikia BAKHRESA,
Nikafurahi kusikia hivyo kwasababu nauchukia sana umasikini,
Na hiyo pesa niliokuwa nayo niliuza sehemu ya shamba langu,
Kwahiyo nilitaka izalishe zaidi na zaidi kwasababu ndio tegemeo langu,
Akaniambia toa hizo pesa zote weka kwenye hiki chungu nikaweka,
Baada ya pale mganga akaniambia subili nakuja akaingia chumbani kwake,
Baada ya muda kidogo mganga akatoka na sanduku la bati,
Ambalo mala nyingi wanafunzi hulitumia shuleni,
Akaniambia hili sanduku unaloliona humu ndani limejaa pesa tupu,
Lakini natakiwa niende kulifungulia nyumbani,
Na nikiwa njiani sitakiwi niongee na mtu yeyote,
Na nikifika nyumbani kabla sijaongea na mtu yeyote pale nyumbani na kabla sijalifungua,
Nimpigie simu kuna kitu atanielekeza kufanya,
Baada ya kufanya hicho kitu ndio nifungue hilo sanduku,
Nilivyofika nyumbani nilimpigia simu yule mganga,
Akaniambia chukua udi washa halafu simama nao hadi uishe,
Nikafanya kama alivyo nielekeza nikasimama nao hadi ukaisha,
Ulipo isha nikampigia simu tena lakini simu haikupatikana,
Nikakumbuka alisema udi ukiisha nifungue sanduku langu la pesa,
Nikiwa na furaha zote za utajili nikaamua kulifungua,
Nilipolifungua sikuamini nilicho kikuta ndani,
Kwani nilikuta magazeti kibao pamoja na biskuti,
Baada ya kuona hivyo nikampigia tena simu hakupatikana,
Nikaamua kwenda nyumbani kwake lakini sikumkuta na nyumba ilikua imefungwa,
Ndipo nilipogundua kuwa nimetapeliwa,
Na Slsasa sielewi hili sanduku na haya magazeti pamoja na biskuti nifanyie nini".....amesema POLINARY

Huyu jamaa ndio mchaga wa kwanza duniani,
Kutapeliwa pesa na mganga wa kienyeji🤣🤣🤣🤣🤣🤣.

Makala hii imeletwa kwenu na Dhulkad Madara kutoka MorogoroView attachment 3169911
Dah! Mangi amewaaibisha sana Mangi wenzake duniani kote.
 
Mpare hutu
Wapare hawana majina ya Apolinary.. Muone hata bebi alilobeba.. Ni mkishimundu kabisa😂🙌🏿🙌🏿🏃🏿🏃🏿
FB_IMG_1733423651645.jpg
 
Kama ulikua hujui kuwa duniani kuna MCHAGA amewahi kutapeliwa MILIONI SITA NA KUPEWA SANDUKU wacha nikufahamishe;-
Katika hali isio kuwa ya kawaida kuwahi kutokea duniani,
Mwanaume mmoja anayefahamika kwa jina la POLINARY MWANGA,
Ambae ni mkazi wa KIBOSHO mkoani KILIMANJARO,
Ametapeliwa kiasi cha milioni sita na laki saba,
Na mtu aliyejitambulisha kuwa ni mganga wa kienyeji,
Baada ya kwenda kwa mganga huyo akitaka utajiri,
Ili kuondokana na umaskini katika maisha yake,
Akiongea na chombo kimoja cha habari POLINARY alisema kuwa;-

"Nilipata milioni sita na laki saba nikaamua kwenda nazo kwa mganga ili nipate utajili,
Nilipofika mganga aliniambia hilo ni jambo rahisi sana,
Kwani hiyo ndio shughuli yake inayo muweka mjini,
Na watu wengi wamepata utajili kupitia yeye baada ya kutoa kiasi kidogo cha pesa walicho nacho,
Alinitajia majina ya watu wengi matajili akisema kuwa,
Watu hao wote wamekua matajili kupitia yeye,
Aliposema hivyo nilishawishika na kumuamini,
Akaniuliza unataka uwe tajili kama nani hapa Tanzania,
Nikamwambia nataka kuwa tajili kama MENGI,
Mganga akaniambia hilo limeisha lakini,
Natakiwa kutoa pesa yote niliokuwa nayo,
Na akasema kadri ninavyotoa pesa nyingi ndivyo nitakavyo kuwa tajili zaidi kuliko mtu nilie mtaja,
Basi nikamwambia mimi nina milioni sita na laki saba,
Mganga akasema tena hiyo ni nyingi sana,
Hiyo pesa nikitoa nitakua tajili kuliko mengi na nitamfikia BAKHRESA,
Nikafurahi kusikia hivyo kwasababu nauchukia sana umasikini,
Na hiyo pesa niliokuwa nayo niliuza sehemu ya shamba langu,
Kwahiyo nilitaka izalishe zaidi na zaidi kwasababu ndio tegemeo langu,
Akaniambia toa hizo pesa zote weka kwenye hiki chungu nikaweka,
Baada ya pale mganga akaniambia subili nakuja akaingia chumbani kwake,
Baada ya muda kidogo mganga akatoka na sanduku la bati,
Ambalo mala nyingi wanafunzi hulitumia shuleni,
Akaniambia hili sanduku unaloliona humu ndani limejaa pesa tupu,
Lakini natakiwa niende kulifungulia nyumbani,
Na nikiwa njiani sitakiwi niongee na mtu yeyote,
Na nikifika nyumbani kabla sijaongea na mtu yeyote pale nyumbani na kabla sijalifungua,
Nimpigie simu kuna kitu atanielekeza kufanya,
Baada ya kufanya hicho kitu ndio nifungue hilo sanduku,
Nilivyofika nyumbani nilimpigia simu yule mganga,
Akaniambia chukua udi washa halafu simama nao hadi uishe,
Nikafanya kama alivyo nielekeza nikasimama nao hadi ukaisha,
Ulipo isha nikampigia simu tena lakini simu haikupatikana,
Nikakumbuka alisema udi ukiisha nifungue sanduku langu la pesa,
Nikiwa na furaha zote za utajili nikaamua kulifungua,
Nilipolifungua sikuamini nilicho kikuta ndani,
Kwani nilikuta magazeti kibao pamoja na biskuti,
Baada ya kuona hivyo nikampigia tena simu hakupatikana,
Nikaamua kwenda nyumbani kwake lakini sikumkuta na nyumba ilikua imefungwa,
Ndipo nilipogundua kuwa nimetapeliwa,
Na Slsasa sielewi hili sanduku na haya magazeti pamoja na biskuti nifanyie nini".....amesema POLINARY

Huyu jamaa ndio mchaga wa kwanza duniani,
Kutapeliwa pesa na mganga wa kienyeji🤣🤣🤣🤣🤣🤣.

Makala hii imeletwa kwenu na Dhulkad Madara kutoka MorogoroView attachment 3169911
Ila mshana daaah
 
Kama ulikua hujui kuwa duniani kuna MCHAGA amewahi kutapeliwa MILIONI SITA NA KUPEWA SANDUKU wacha nikufahamishe;-
Katika hali isio kuwa ya kawaida kuwahi kutokea duniani,
Mwanaume mmoja anayefahamika kwa jina la POLINARY MWANGA,
Ambae ni mkazi wa KIBOSHO mkoani KILIMANJARO,
Ametapeliwa kiasi cha milioni sita na laki saba,
Na mtu aliyejitambulisha kuwa ni mganga wa kienyeji,
Baada ya kwenda kwa mganga huyo akitaka utajiri,
Ili kuondokana na umaskini katika maisha yake,
Akiongea na chombo kimoja cha habari POLINARY alisema kuwa;-

"Nilipata milioni sita na laki saba nikaamua kwenda nazo kwa mganga ili nipate utajili,
Nilipofika mganga aliniambia hilo ni jambo rahisi sana,
Kwani hiyo ndio shughuli yake inayo muweka mjini,
Na watu wengi wamepata utajili kupitia yeye baada ya kutoa kiasi kidogo cha pesa walicho nacho,
Alinitajia majina ya watu wengi matajili akisema kuwa,
Watu hao wote wamekua matajili kupitia yeye,
Aliposema hivyo nilishawishika na kumuamini,
Akaniuliza unataka uwe tajili kama nani hapa Tanzania,
Nikamwambia nataka kuwa tajili kama MENGI,
Mganga akaniambia hilo limeisha lakini,
Natakiwa kutoa pesa yote niliokuwa nayo,
Na akasema kadri ninavyotoa pesa nyingi ndivyo nitakavyo kuwa tajili zaidi kuliko mtu nilie mtaja,
Basi nikamwambia mimi nina milioni sita na laki saba,
Mganga akasema tena hiyo ni nyingi sana,
Hiyo pesa nikitoa nitakua tajili kuliko mengi na nitamfikia BAKHRESA,
Nikafurahi kusikia hivyo kwasababu nauchukia sana umasikini,
Na hiyo pesa niliokuwa nayo niliuza sehemu ya shamba langu,
Kwahiyo nilitaka izalishe zaidi na zaidi kwasababu ndio tegemeo langu,
Akaniambia toa hizo pesa zote weka kwenye hiki chungu nikaweka,
Baada ya pale mganga akaniambia subili nakuja akaingia chumbani kwake,
Baada ya muda kidogo mganga akatoka na sanduku la bati,
Ambalo mala nyingi wanafunzi hulitumia shuleni,
Akaniambia hili sanduku unaloliona humu ndani limejaa pesa tupu,
Lakini natakiwa niende kulifungulia nyumbani,
Na nikiwa njiani sitakiwi niongee na mtu yeyote,
Na nikifika nyumbani kabla sijaongea na mtu yeyote pale nyumbani na kabla sijalifungua,
Nimpigie simu kuna kitu atanielekeza kufanya,
Baada ya kufanya hicho kitu ndio nifungue hilo sanduku,
Nilivyofika nyumbani nilimpigia simu yule mganga,
Akaniambia chukua udi washa halafu simama nao hadi uishe,
Nikafanya kama alivyo nielekeza nikasimama nao hadi ukaisha,
Ulipo isha nikampigia simu tena lakini simu haikupatikana,
Nikakumbuka alisema udi ukiisha nifungue sanduku langu la pesa,
Nikiwa na furaha zote za utajili nikaamua kulifungua,
Nilipolifungua sikuamini nilicho kikuta ndani,
Kwani nilikuta magazeti kibao pamoja na biskuti,
Baada ya kuona hivyo nikampigia tena simu hakupatikana,
Nikaamua kwenda nyumbani kwake lakini sikumkuta na nyumba ilikua imefungwa,
Ndipo nilipogundua kuwa nimetapeliwa,
Na Slsasa sielewi hili sanduku na haya magazeti pamoja na biskuti nifanyie nini".....amesema POLINARY

Huyu jamaa ndio mchaga wa kwanza duniani,
Kutapeliwa pesa na mganga wa kienyeji🤣🤣🤣🤣🤣🤣.

Makala hii imeletwa kwenu na Dhulkad Madara kutoka MorogoroView attachment 3169911
Ila mshana
 
Wanaokaa Manzese - Bakhressa njia ya kwenda tandale kituo cha polisi Kuna nyumba ya wageni inaitwa New York,nyuma yake kulikuwa na Mzee wa kingoni alijenga nyumba yake nzuri sana,enzi hizo mapambano yote ya Tyson tulikuwa tunaangalia kwake,Mzee pekee aliyekuwa na TV mtaani kwetu.
Mzee Bambo alikuwa dereva wa malori wa kampuni ya bia (TBL) Mungu alimjaalia maisha mazuri sana kipindi hicho cha 1990's Mtoto wake alikuwa anasoma sekondari ya St. Anthony ya mbagala.

Baada ya miaka kadhaa hali ya kimaisha ilibadilika kazini aliondolewa akawa anaenda bandarini na kupata kazi za kupeleka gari za 'IT' nchi za jirani.Sasa katika kipindi hicho alikutana na hao waganga matapeli wakamuahidi atapata pesa nyingi na atanunua ghorofa maeneo ya magomeni,Mzee bambo hakuwa na pesa za kutosha kuwalipa akaamua auze nyumba yake,kabla ya kuiuza vikao vya kifamilia vilifanyika ili kumzuia Mzee Bambo asiuze hiyo nyumba,mabishano makali sana yalitokea Mzee aliamua kuuza nyumba yake na kuwakabidhi wale waganga kiasi chote cha pesa kilichopatikana.

Baada ya hapo waganga walitokomea kusikojulikana Mzee alibaki na sanduku lake, baada ya siku kadhaa kupitia Mzee alifungua sanduku kilichofuatia ni kilio na kuchanganyikiwa,Mzee alipata ugonjwa wa moyo na akili yake haikuwa sawa.

Akaenda kupanga maeneo ya njia ya uzuri baada ya miaka kadhaa Mzee bambo alirudi kwao Ruvuma na umauti ulimkuta huko.
 
Wanaokaa Manzese - Bakhressa njia ya kwenda tandale kituo cha polisi Kuna nyumba ya wageni inaitwa New York,nyuma yake kulikuwa na Mzee wa kingoni alijenga nyumba yake nzuri sana,enzi hizo mapambano yote ya Tyson tulikuwa tunaangalia kwake,Mzee pekee aliyekuwa na TV mtaani kwetu.
Mzee Bambo alikuwa dereva wa malori wa kampuni ya bia (TBL) Mungu alimjaalia maisha mazuri sana kipindi hicho cha 1990's Mtoto wake alikuwa anasoma sekondari ya St. Anthony ya mbagala.

Baada ya miaka kadhaa hali ya kimaisha ilibadilika kazini aliondolewa akawa anaenda bandarini na kupata kazi za kupeleka gari za 'IT' nchi za jirani.Sasa katika kipindi hicho alikutana na hao waganga matapeli wakamuahidi atapata pesa nyingi na atanunua ghorofa maeneo ya magomeni,Mzee bambo hakuwa na pesa za kutosha kuwalipa akaamua auze nyumba yake,kabla ya kuiuza vikao vya kifamilia vilifanyika ili kumzuia Mzee Bambo asiuze hiyo nyumba,mabishano makali sana yalitokea Mzee aliamua kuuza nyumba yake na kuwakabidhi wale waganga kiasi chote cha pesa kilichopatikana.

Baada ya hapo waganga walitokomea kusikojulikana Mzee alibaki na sanduku lake, baada ya siku kadhaa kupitia Mzee alifungua sanduku kilichofuatia ni kilio na kuchanganyikiwa,Mzee alipata ugonjwa wa moyo na akili yake haikuwa sawa.

Akaenda kupanga maeneo ya njia ya uzuri baada ya miaka kadhaa Mzee bambo alirudi kwao Ruvuma na umauti ulimkuta huko.
(Mkuu umetaja maeneo yangu ya kujidai nilipokuwa mdogo, mimi makuzi yangu nimekulia nyuma ya Hotel ya Mexico City kwa sasa wanapaita Discpline kitengo)

Matapeli wengi wa aina hii ya utapeli walikuwa maskani yao ni Manzese, mbinu yao kubwa ilikuwa wakikuona una ukaribu na mtu mwenye uwezo kiuchumi wanakurubuni wewe ili wamtapeli huyo mtu.
Mbinu nyingine wanatapeli wale watu waliokuwa vizuri kiuchumi halafu wakayumba wanawaambia kuna jini lichukua pesa zako na utaonyeshwa kwenye sanduku kabisa. Jinsi ya kuzipata mchakato wake ndio kutapeliwa kunapoanza.
Utapeli huu ulivuma sana miaka ya 2000's nashangaa huyu jamaa ametapeliwa kwa mbinu ya kizamani sana.
 
(Mkuu umetaja maeneo yangu ya kujidai nilipokuwa mdogo, mimi makuzi yangu nimekulia nyuma ya Hotel ya Mexico City kwa sasa wanapaita Discpline kitengo)

Matapeli wengi wa aina hii ya utapeli walikuwa maskani yao ni Manzese, mbinu yao kubwa ilikuwa wakikuona una ukaribu na mtu mwenye uwezo kiuchumi wanakurubuni wewe ili wamtapeli huyo mtu.
Mbinu nyingine wanatapeli wale watu waliokuwa vizuri kiuchumi halafu wakayumba wanawaambia kuna jini lichukua pesa zako na utaonyeshwa kwenye sanduku kabisa. Jinsi ya kuzipata mchakato wake ndio kutapeliwa kunapoanza.
Utapeli huu ulivuma sana miaka ya 2000's nashangaa huyu jamaa ametapeliwa kwa mbinu ya kizamani sana.
Maeneo ya.wazazi wangu hayo nilizaliwa na kukulia huko,bila shaka utakuwa unawafahamu akina bakari manjenga,yahaya Maliki,Mzee kichanga,Mwalami likonda,Ngade,marehemu roja mjeshi,mchodo,mokili,Babu Alex......
Displine kitengo napafahamu vizuri sana
 
Kama ulikua hujui kuwa duniani kuna MCHAGA amewahi kutapeliwa MILIONI SITA NA KUPEWA SANDUKU wacha nikufahamishe;-
Katika hali isio kuwa ya kawaida kuwahi kutokea duniani,
Mwanaume mmoja anayefahamika kwa jina la POLINARY MWANGA,
Ambae ni mkazi wa KIBOSHO mkoani KILIMANJARO,
Ametapeliwa kiasi cha milioni sita na laki saba,
Na mtu aliyejitambulisha kuwa ni mganga wa kienyeji,
Baada ya kwenda kwa mganga huyo akitaka utajiri,
Ili kuondokana na umaskini katika maisha yake,
Akiongea na chombo kimoja cha habari POLINARY alisema kuwa;-

"Nilipata milioni sita na laki saba nikaamua kwenda nazo kwa mganga ili nipate utajili,
Nilipofika mganga aliniambia hilo ni jambo rahisi sana,
Kwani hiyo ndio shughuli yake inayo muweka mjini,
Na watu wengi wamepata utajili kupitia yeye baada ya kutoa kiasi kidogo cha pesa walicho nacho,
Alinitajia majina ya watu wengi matajili akisema kuwa,
Watu hao wote wamekua matajili kupitia yeye,
Aliposema hivyo nilishawishika na kumuamini,
Akaniuliza unataka uwe tajili kama nani hapa Tanzania,
Nikamwambia nataka kuwa tajili kama MENGI,
Mganga akaniambia hilo limeisha lakini,
Natakiwa kutoa pesa yote niliokuwa nayo,
Na akasema kadri ninavyotoa pesa nyingi ndivyo nitakavyo kuwa tajili zaidi kuliko mtu nilie mtaja,
Basi nikamwambia mimi nina milioni sita na laki saba,
Mganga akasema tena hiyo ni nyingi sana,
Hiyo pesa nikitoa nitakua tajili kuliko mengi na nitamfikia BAKHRESA,
Nikafurahi kusikia hivyo kwasababu nauchukia sana umasikini,
Na hiyo pesa niliokuwa nayo niliuza sehemu ya shamba langu,
Kwahiyo nilitaka izalishe zaidi na zaidi kwasababu ndio tegemeo langu,
Akaniambia toa hizo pesa zote weka kwenye hiki chungu nikaweka,
Baada ya pale mganga akaniambia subili nakuja akaingia chumbani kwake,
Baada ya muda kidogo mganga akatoka na sanduku la bati,
Ambalo mala nyingi wanafunzi hulitumia shuleni,
Akaniambia hili sanduku unaloliona humu ndani limejaa pesa tupu,
Lakini natakiwa niende kulifungulia nyumbani,
Na nikiwa njiani sitakiwi niongee na mtu yeyote,
Na nikifika nyumbani kabla sijaongea na mtu yeyote pale nyumbani na kabla sijalifungua,
Nimpigie simu kuna kitu atanielekeza kufanya,
Baada ya kufanya hicho kitu ndio nifungue hilo sanduku,
Nilivyofika nyumbani nilimpigia simu yule mganga,
Akaniambia chukua udi washa halafu simama nao hadi uishe,
Nikafanya kama alivyo nielekeza nikasimama nao hadi ukaisha,
Ulipo isha nikampigia simu tena lakini simu haikupatikana,
Nikakumbuka alisema udi ukiisha nifungue sanduku langu la pesa,
Nikiwa na furaha zote za utajili nikaamua kulifungua,
Nilipolifungua sikuamini nilicho kikuta ndani,
Kwani nilikuta magazeti kibao pamoja na biskuti,
Baada ya kuona hivyo nikampigia tena simu hakupatikana,
Nikaamua kwenda nyumbani kwake lakini sikumkuta na nyumba ilikua imefungwa,
Ndipo nilipogundua kuwa nimetapeliwa,
Na Slsasa sielewi hili sanduku na haya magazeti pamoja na biskuti nifanyie nini".....amesema POLINARY

Huyu jamaa ndio mchaga wa kwanza duniani,
Kutapeliwa pesa na mganga wa kienyeji🤣🤣🤣🤣🤣🤣.

Makala hii imeletwa kwenu na Dhulkad Madara kutoka MorogoroView attachment 3169911
Kumbe utajiri wa uganga umehama kutoka nyanda za juu kusini hadi kwa wezi wachaga?
 
Wanaokaa Manzese - Bakhressa njia ya kwenda tandale kituo cha polisi Kuna nyumba ya wageni inaitwa New York,nyuma yake kulikuwa na Mzee wa kingoni alijenga nyumba yake nzuri sana,enzi hizo mapambano yote ya Tyson tulikuwa tunaangalia kwake,Mzee pekee aliyekuwa na TV mtaani kwetu.
Mzee Bambo alikuwa dereva wa malori wa kampuni ya bia (TBL) Mungu alimjaalia maisha mazuri sana kipindi hicho cha 1990's Mtoto wake alikuwa anasoma sekondari ya St. Anthony ya mbagala.

Baada ya miaka kadhaa hali ya kimaisha ilibadilika kazini aliondolewa akawa anaenda bandarini na kupata kazi za kupeleka gari za 'IT' nchi za jirani.Sasa katika kipindi hicho alikutana na hao waganga matapeli wakamuahidi atapata pesa nyingi na atanunua ghorofa maeneo ya magomeni,Mzee bambo hakuwa na pesa za kutosha kuwalipa akaamua auze nyumba yake,kabla ya kuiuza vikao vya kifamilia vilifanyika ili kumzuia Mzee Bambo asiuze hiyo nyumba,mabishano makali sana yalitokea Mzee aliamua kuuza nyumba yake na kuwakabidhi wale waganga kiasi chote cha pesa kilichopatikana.

Baada ya hapo waganga walitokomea kusikojulikana Mzee alibaki na sanduku lake, baada ya siku kadhaa kupitia Mzee alifungua sanduku kilichofuatia ni kilio na kuchanganyikiwa,Mzee alipata ugonjwa wa moyo na akili yake haikuwa sawa.

Akaenda kupanga maeneo ya njia ya uzuri baada ya miaka kadhaa Mzee bambo alirudi kwao Ruvuma na umauti ulimkuta huko.
Niliwahi kupanga kwa mstaafu wa jeshi kule Mtoni kwa Aziz Ally nyuma ya Sabasaba karibu na uwanja wa Sifa, huyu mzee naye alitapeliwa na wanaijeria na kuuza hiyo nyumba yake.. Alikufa ndani ya mwaka mmoja baada ya huo utapeli
 
 
Back
Top Bottom