Mangi wote njooni hapa, sema X-Mass itakuwa wapi..

hiden

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2015
Posts
376
Reaction score
691
Shimboni Shanii.
Kama kawa kama dawa, mwenye wivu nampa kamba ya buree.

Haina kweree, hainaa nomaaa.

Leta maneno hapa chalii, semaa hii kirisimasi tuauliaa wapi we jamaaa.

Mimi nimejichanga vya kutoshaa, tarehe 23 kibosho mojaa hiyoo.

Safari hii naenda chinjaa ile mbuzi ya kuvaa bangili mkononi, kushukuru mababu kwa kumaliza huu mwaka na huyu chalii anesumbua nchi.

Niambiee Mangi Wangu wewe unaenda uliaa wapi hii sikukuu..

Aikaa Mangi...
Aikaa Ruwaaa!!!
 
Huo ushamba wa kwenda kwa bibi kwakuwa eti ni Christmas tulishaacha!

Au huwa unaenda kutambika?

Moshi tunaenda kiila panapobidi kuwajulia hali ndugu na kuwaona wazee na sio December eti kwaajili ya Christmas

Usiishi kwa Mazoea, ishi kwa Usahihi na Utakatifu.
 
Baada ya KUOKOKA, tumeacha kwenda kutambika (kubudu mizimu) Siku hizi tunakwenda siku yeyote, mwezi wowote kwa kusalimu ndg
 
Ni swala la NDUGU KUTOKA SEHEMU MBALIMBALI KUKAKAA PAMOJA MARA MOJA KWA MWAKA KWA AJILI YA KUIMARISHA UNDUGU NA KUBADILISHINA MAWAZO.
BIG UP KWA WACHAGGA!
 
Ni swala la NDUGU KUTOKA SEHEMU MBALIMBALI KUKAKAA PAMOJA MARA MOJA KWA MWAKA KWA AJILI YA KUIMARISHA UNDUGU NA KUBADILISHINA MAWAZO.
BIG UP KWA WACHAGGA!
Ni sawa na nafahamu hilo since n since

Ila sikuhizi kuna social medias, simu zenye dakika za kutosha na pia watu wanakutana sana Moshi kukiwa na misiba.

Mtu yupo Arusha au Tanga halafu eti anafunga safari kwenda hapo Moshi kwasababu tu ni Christmas

Huwa naenda Kilwa Vunjo kuwajulia hali wazee na ndugu siku yoyote, wiki na mwezi wowote.
 
Nipo Kiboriloni kama kawaida. Karibuni sana wakuu. Nitaangusha ng'ombe.
 

Moshi tunakuja muda wote ila kipindi cha Christmas ni lazima kuja kukutana na watu wote.
 
Penda veve buree
 
Mji wa moshi unajaaga tarehe hizi nakuanzia tar23 foleni kama uko dsm vile
 
Muda wa likizo huu, sikukuu mbili kubwa za mwaka, kila watu na tamaduni zao, kama uchumi unaruhusu kwa nini usiende? usijilazimishe lakini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…