Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
MANGUNGU AGOMA KUNG'ATUKA SIMBA
"Bodi imefikia uamuzi huo (kusitisha mkataba na kocha) sio mimi. Simba inaongozwa kwa mujibu wa utaratibu. Nijiuzulu kwa sababu gani, kwani timu inafanya vibaya ? Tumepoteza mechi moj tu (dhidi ya Yanga) kwanini hawakusema nijiuzulu wakati tunashinda mfululizo?" Murtza Mangungu, Mwenyekiti wa Simba
TABULELE [emoji113]
Hamsa [emoji113]
Tabu itaendelea Kwa makolo
"Bodi imefikia uamuzi huo (kusitisha mkataba na kocha) sio mimi. Simba inaongozwa kwa mujibu wa utaratibu. Nijiuzulu kwa sababu gani, kwani timu inafanya vibaya ? Tumepoteza mechi moj tu (dhidi ya Yanga) kwanini hawakusema nijiuzulu wakati tunashinda mfululizo?" Murtza Mangungu, Mwenyekiti wa Simba
TABULELE [emoji113]
Hamsa [emoji113]
Tabu itaendelea Kwa makolo