Wanasimba tuache unafki....Mangungu atokeee hatufaii na hatumtakiiii, atuachie team yetuu. Km anapenda sana akaanzishe team yake mxxxiiiieeeew
Emu kwendraaa huko, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanasimba tuache unafki....
Mbona mangungu alivyotuletea manzoki kuja kutusalimia ....tulishangilia sana ...hatukumtaka ang'atuke
Simba guvu moya
We win together....we lose together
Hamsa [emoji113][emoji23]
Mangungu ni ceremonial figure pale Simba. Kirusi ni Jaribu Tena. Msipomuondoa Huyo mtabaki na kidonda kisichopona siku zote.Cha ajabu upande wa pili wanatetea mangungu abaki sijui wanafaidika na nn
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umetisha sanaSafi sana Murtaza Mangungu. Hakuna kujiuzulu. Sisi Wanasimba tuko pamoja nawe daima. [emoji113]
Na kama wanakulazimisha ujiuzulu, basi wakulipe zile gharama zako ulizotumia kumleta Caesar Manzoki kutoka China, kuwasalimia wapiga kura kwenye ule uchaguzi wa mwaka jana.
Hadi tusemee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na bado hatujasema[emoji23][emoji113]
Tulia wewe. Si mashabiki wenzako lia lia tuna imani naye.Mangungu atokeee hatufaii na hatumtakiiii, atuachie team yetuu. Km anapenda sana akaanzishe team yake mxxxiiiieeeew