Mangungu agoma kung'atuka Baada ya Simba kula 5G mnara

Mangungu agoma kung'atuka Baada ya Simba kula 5G mnara

Mangungu atokeee hatufaii na hatumtakiiii, atuachie team yetuu. Km anapenda sana akaanzishe team yake mxxxiiiieeeew
Wanasimba tuache unafki....
Mbona mangungu alivyotuletea manzoki kuja kutusalimia ....tulishangilia sana ...hatukumtaka ang'atuke

Simba guvu moya
We win together....we lose together
Hamsa [emoji113][emoji23]
 
Safi sana Murtaza Mangungu. Hakuna kujiuzulu. Sisi Wanasimba tuko pamoja nawe daima. [emoji113]

Na kama wanakulazimisha ujiuzulu, basi wakulipe zile gharama zako ulizotumia kumleta Caesar Manzoki kutoka China, kuwasalimia wapiga kura kwenye ule uchaguzi wa mwaka jana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umetisha sana
 
Back
Top Bottom