Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Kitendo cha mwenyekiti wa Simba Murtaza Mangungu kurud tena madarakani kwa miaka 4 tena kimepokewa kwa huzuni na masikitiko makubwa na wanachama wengi wa Simba, wengi hawakuridhishwa na uongozi wake hivyo wanaona miaka 4 mingine ni migumu sana.
Wengine tulishabaini kitambo sana tangu wakat wa kampeni kuwa Mangungu anaungwa mkono na Mo Dewji na wapambe wake, ilkuwa ngumu kumshinda kutokana na yaliyokuwa yakiendelea, alikuwa akipigiwa debe na akina Hassan Hassanoo mpiganaji ambao walikuwa wakifanya kampeni nje nje.
Nimejifunza kitu kimoja kutokana na uchaguzi wa jana.
1. Sasa hv wanachama hatuna tena thamani ndani ya Simba, ndio maana wengi tumelalamika uchaguzi namna ulivyoendeshwa.
2.Kaluwa ni mwanasheria msomi, amekataa kusaini matokeo kwa sababu anajua the election was not free and fair.
3.Mkae mkijua Mangungu anagombea ubunge kilwa kaskazini mwaka 2025, atakuwa busy sana kwenye siasa kuliko kuitumikia Simba.
4.Yanga wamefurahi kuona Mangungu amerudi kwenye uongozi
5.Uchaguzi haujakwisha, subirini mechi na Singida mtaona matokeo yake.
6.Hongera Mangungu, umewafanya wana Simba wajisikie huzuni kwa ushindi wako
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Wengine tulishabaini kitambo sana tangu wakat wa kampeni kuwa Mangungu anaungwa mkono na Mo Dewji na wapambe wake, ilkuwa ngumu kumshinda kutokana na yaliyokuwa yakiendelea, alikuwa akipigiwa debe na akina Hassan Hassanoo mpiganaji ambao walikuwa wakifanya kampeni nje nje.
Nimejifunza kitu kimoja kutokana na uchaguzi wa jana.
1. Sasa hv wanachama hatuna tena thamani ndani ya Simba, ndio maana wengi tumelalamika uchaguzi namna ulivyoendeshwa.
2.Kaluwa ni mwanasheria msomi, amekataa kusaini matokeo kwa sababu anajua the election was not free and fair.
3.Mkae mkijua Mangungu anagombea ubunge kilwa kaskazini mwaka 2025, atakuwa busy sana kwenye siasa kuliko kuitumikia Simba.
4.Yanga wamefurahi kuona Mangungu amerudi kwenye uongozi
5.Uchaguzi haujakwisha, subirini mechi na Singida mtaona matokeo yake.
6.Hongera Mangungu, umewafanya wana Simba wajisikie huzuni kwa ushindi wako
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app