Mangungu ana mitihani Simba, kwenye sherehe anaongea Mo, kwenye matatizo lawama Kwa Mangungu

Mangungu ana mitihani Simba, kwenye sherehe anaongea Mo, kwenye matatizo lawama Kwa Mangungu

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Leo nimeona kwenye tamasha la Simba day, Mo akiwa maarufu, wanasimba walimuimba sana.

Lakini kumbuka Mwenyekiti wa Simba Mangungu hajazunguziwa wa kuzungumza na uwanjani alikuwepo.

Mo alipewa 🎤 kuongea hadi akaongea mambo binafsi atatambulisha hadi wanafamilia madada, shangazi, wajomba n.k

Wana Simba na mdhamini Mo mnadharau Mangungu,
Team ikiyumba mnamtaka Mangungu aondoke, Leo ushindi wa bonanza Mo ndo kawa shujaa.

Mbumbumbu jitafakar sana
 
Leo nimeona kwenye tamasha la Simba day, Mo akiwa maarufu, wanasimba walimuimba sana.
Lakini kumbuka Mwenyekiti wa Simba Mangungu hajazunguziwa wa kuzungumza na uwanjani alikuwepo.

Mo alipewa 🎤 kuongea hadi akaongea mambo binafsi atatambulisha hadi wanafamilia madada, shangazi, wajomba n.k

Wana Simba na mdhamini Mo mnadharau Mangungu,
Team ikiyumba mnamtaka Mangungu aondoke, Leo ushindi wa bonanza Mo ndo kawa shujaa.
Mbumbumbu jitafakar sana
ONYO alilopewa na Wazee alitafakari na aache kuwa Ndumilakuwili kwani yatamkuta yale yale ya Marehemu Juma Salum.
 
Leo nimeona kwenye tamasha la Simba day, Mo akiwa maarufu, wanasimba walimuimba sana.

Lakini kumbuka Mwenyekiti wa Simba Mangungu hajazunguziwa wa kuzungumza na uwanjani alikuwepo.

Mo alipewa 🎤 kuongea hadi akaongea mambo binafsi atatambulisha hadi wanafamilia madada, shangazi, wajomba n.k

Wana Simba na mdhamini Mo mnadharau Mangungu,
Team ikiyumba mnamtaka Mangungu aondoke, Leo ushindi wa bonanza Mo ndo kawa shujaa.

Mbumbumbu jitafakar sana
Mo kaongea nini
 
Leo nimeona kwenye tamasha la Simba day, Mo akiwa maarufu, wanasimba walimuimba sana.

Lakini kumbuka Mwenyekiti wa Simba Mangungu hajazunguziwa wa kuzungumza na uwanjani alikuwepo.

Mo alipewa 🎤 kuongea hadi akaongea mambo binafsi atatambulisha hadi wanafamilia madada, shangazi, wajomba n.k

Wana Simba na mdhamini Mo mnadharau Mangungu,
Team ikiyumba mnamtaka Mangungu aondoke, Leo ushindi wa bonanza Mo ndo kawa shujaa.

Mbumbumbu jitafakar sana
Tuheshimiane bwana,,kwani kuna shida?
 
Mwenyekiti upande wa mashabiki wa club ya yanga ni nani? Upande wa mwekezaji ni Hersi
Comrade, hapa umekurupuka. Kwa katiba ya sasa, Yanga haina Mwenyekiti. By the way, mada iliyopo mezani inamhusu Mwenyekiti Murtazar Mangungu!

Mtuambie hapa ni kwa nini timu yenu ya simba ikifanya vibaya, shutuma zote anapewa Mangungu! Halafu timu hiyo hiyo ikifanya vizuri, pongezi anapewa Mo!!!
 
Mangungu tutamlinda kwa gharama yoyote
Ameshaambiwa safari hii akimpa Siri Mjomba wake ambaye ndiyo Mganga Mkuu wa Yanga SC na Kiongozi mkubwa katika Serikali ya sasa kikija kumkuta kile kile kilichomtokea aliyekuwa Kiongozi wa Simba SC miaka ya nyuma Marehemu Juma Salum njiani kuelekea Mkoani Dodoma asije Kumlaumu Mtu. Awe makini sana Msimu huu kwani anawindwa zaidi na Nguvu za Nje ( za Kiutamaduni )
 
Ameshaambiwa safari hii akimpa Siri Mjomba wake ambaye ndiyo Mganga Mkuu wa Yanga SC na Kiongozi mkubwa katika Serikali ya sasa kikija kumkuta kile kile kilichomtokea aliyekuwa Kiongozi wa Simba SC miaka ya nyuma Marehemu Juma Salum njiani kuelekea Mkoani Dodoma asije Kumlaumu Mtu. Awe makini sana Msimu huu kwani anawindwa zaidi na Nguvu za Nje ( za Kiutamaduni )
Ubaya ubwela 😂😂
 
Comrade, hapa umekurupuka. Kwa katiba ya sasa, Yanga haina Mwenyekiti. By the way, mada iliyopo mezani inamhusu Mwenyekiti Murtazar Mangungu!

Mtuambie hapa ni kwa nini timu yenu ya simba ikifanya vibaya, shutuma zote anapewa Mangungu! Halafu timu hiyo hiyo ikifanya vizuri, pongezi anapewa Mo!!!
Okay, muwakilishi upande wa asilimia 51 ni nani?
 
Back
Top Bottom