ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Leo nimeona kwenye tamasha la Simba day, Mo akiwa maarufu, wanasimba walimuimba sana.
Lakini kumbuka Mwenyekiti wa Simba Mangungu hajazunguziwa wa kuzungumza na uwanjani alikuwepo.
Mo alipewa 🎤 kuongea hadi akaongea mambo binafsi atatambulisha hadi wanafamilia madada, shangazi, wajomba n.k
Wana Simba na mdhamini Mo mnadharau Mangungu,
Team ikiyumba mnamtaka Mangungu aondoke, Leo ushindi wa bonanza Mo ndo kawa shujaa.
Mbumbumbu jitafakar sana
Lakini kumbuka Mwenyekiti wa Simba Mangungu hajazunguziwa wa kuzungumza na uwanjani alikuwepo.
Mo alipewa 🎤 kuongea hadi akaongea mambo binafsi atatambulisha hadi wanafamilia madada, shangazi, wajomba n.k
Wana Simba na mdhamini Mo mnadharau Mangungu,
Team ikiyumba mnamtaka Mangungu aondoke, Leo ushindi wa bonanza Mo ndo kawa shujaa.
Mbumbumbu jitafakar sana