Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
MagomaMwenyekiti upande wa mashabiki wa club ya yanga ni nani? Upande wa mwekezaji ni Hersi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MagomaMwenyekiti upande wa mashabiki wa club ya yanga ni nani? Upande wa mwekezaji ni Hersi
Naona unajitoa ufahamu,mchakato wa Yanga umekamilika lini?Rais anatoka kwa muwekezaji vipi hawa wenye asilimia 51 nani muwakilishi wao?
Rais wa club wa wanachama au wa mdhamini? Maana juzi amepitisha udhamini wa sh. 1B kwa miaka mitano 😨YANGA Kuna Rais wa club
Soma katiba mpya ya Yanga.
Vyeo vya Mwenyekiti viko umbumbumbuni
Kuwakilisha kina nani? sisi timu yetu sio kikundi cha wanasiasa! Hersi alichaguliwa na wanachama unauliza tena anawakilisha nani?Rais anatoka kwa muwekezaji vipi hawa wenye asilimia 51 nani muwakilishi wao?
Ukiwa mbumbumbu huwezi kuelewa nyie kaeni na katiba yenu ya wenyeviti wa vitongonjiRais wa club wa wanachama au wa mdhamini? Maana juzi amepitisha udhamini wa sh. 1B kwa miaka mitano 😨
sasa mangungu anatoa pesa?Leo nimeona kwenye tamasha la Simba day, Mo akiwa maarufu, wanasimba walimuimba sana.
Lakini kumbuka Mwenyekiti wa Simba Mangungu hajazunguziwa wa kuzungumza na uwanjani alikuwepo.
Mo alipewa 🎤 kuongea hadi akaongea mambo binafsi atatambulisha hadi wanafamilia madada, shangazi, wajomba n.k
Wana Simba na mdhamini Mo mnadharau Mangungu,
Team ikiyumba mnamtaka Mangungu aondoke, Leo ushindi wa bonanza Mo ndo kawa shujaa.
Mbumbumbu jitafakar sana
Duh duh 🙄 kumbe habari za usaliti za marehemu Juma Salum unazijua?? Mzee alituumiza sana kwenye dabi yaani maandalizi yalikuwa yanaenda vizuri kwa kila dabi ikibaki siku mbili au Moja anaharibu.ONYO alilopewa na Wazee alitafakari na aache kuwa Ndumilakuwili kwani yatamkuta yale yale ya Marehemu Juma Salum.
Yanga akiwafunga 8 hiyo tarehe 8 mwezi wa 8Ameshaambiwa safari hii akimpa Siri Mjomba wake ambaye ndiyo Mganga Mkuu wa Yanga SC na Kiongozi mkubwa katika Serikali ya sasa kikija kumkuta kile kile kilichomtokea aliyekuwa Kiongozi wa Simba SC miaka ya nyuma Marehemu Juma Salum njiani kuelekea Mkoani Dodoma asije Kumlaumu Mtu. Awe makini sana Msimu huu kwani anawindwa zaidi na Nguvu za Nje ( za Kiutamaduni )
Analaumiwa kwa Sababu Mangungu ndo CHAWA wa Yanga aliyebakia pale SimbaComrade, hapa umekurupuka. Kwa katiba ya sasa, Yanga haina Mwenyekiti. By the way, mada iliyopo mezani inamhusu Mwenyekiti Murtazar Mangungu!
Mtuambie hapa ni kwa nini timu yenu ya simba ikifanya vibaya, shutuma zote anapewa Mangungu! Halafu timu hiyo hiyo ikifanya vizuri, pongezi anapewa Mo!!!
Mzaramo wa Kisarawe - Tarafa Maneromango - Kata Msanga Kijiji-Bembeza.Huyo anatoka Kijiji kimoja na Sureboy.Sio mnyamwezi kweli huyo mzee?
Maana nasikia mzigo mzito mpe mnyamwezi
Wasubiri baada ya tarehe 8. Mzee ana mapenzi na Timu yake anasubiri mechi ipite alianzishe😁 Magoma Moto.Mwenyekiti upande wa mashabiki wa club ya yanga ni nani? Upande wa mwekezaji ni Hersi
Mwenyekiti upande wa mashabiki wa club ya yanga ni nani? Upande wa mwekezaji ni Hersi
Hata kutajwa tu hakutajwaLeo nimeona kwenye tamasha la Simba day, Mo akiwa maarufu, wanasimba walimuimba sana.
Lakini kumbuka Mwenyekiti wa Simba Mangungu hajazunguziwa wa kuzungumza na uwanjani alikuwepo.
Mo alipewa 🎤 kuongea hadi akaongea mambo binafsi atatambulisha hadi wanafamilia madada, shangazi, wajomba n.k
Wana Simba na mdhamini Mo mnadharau Mangungu,
Team ikiyumba mnamtaka Mangungu aondoke, Leo ushindi wa bonanza Mo ndo kawa shujaa.
Mbumbumbu jitafakar sana