Mangungu karudi safi sana, mingine minne ya maumivu kwa mtani

Mangungu karudi safi sana, mingine minne ya maumivu kwa mtani

Mtanzanias

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2021
Posts
1,747
Reaction score
3,725
Ni mwenyekiti tuliyemtaka aendelee kuhudumu pale ukoloni na tumefanikiwa pakubwa, Wanayanga endeleeni kutembea kifua mbele kikubwa ni kutengeneza kabati jingine la makombe, mission imekamilika usiniulize imekamilikaje👏👏👏👏.
 
Simba ina shida ya kuongozwa na watu wale wale...

Hukawii baada ya huyu kuondoka akaja Kaduguda, Dalali au Rage...
 
Back
Top Bottom