Mangungu: Kuna kampeni ya kuumiza wachezaji wetu.

Yaani Viongozi wanaoiongoza Simba ni majanga.Huyo mangungu hata mashujaa hawawezi mpa uwongozi ajabu ndiyo mwenyekiti wa club na 9 Africa.Nikikumbuka issue ya Manzoki alivyomleta kwenye mkutano wa Simba kwaajili ya kampeni kuhadaa watu .Simba chini ya kina Mangungu na wenzake haitokaa ifanikiwe .
 
Utopolo mmeona hamuiwezi Simba mmeamua kurudia michezo yenu ya kutembeza bahasha ili wachezaji wa Simba wavunjwe
 
Miongoni mwa viongozi mazuzu...kwenye Simba Sc ni huyu mwamba....huyu si alisemaga kwamba malengo yetu ilikuwa ni kumfunga mtani....na tumefanikisha....kwl huyu ni zuzu.....

Hiyo kampeni hakufanyie nan wakati huna rotation ya wachezaj kila mechi ni hao hao....HAWACHOKI.....???
 
Huwa najiuliza km huyu ni ZUZU na ni kiongozi means ni kiongozi wa MAZUZU ?
 
Mangungu✓
Mbumbumbu✓
Majina yana match ndio maana kwenye uchaguzi anawaletea Manzoki kama mjumbe next round atawaletea Kansiime na kura watampa
 
Mangungu nadhani anajua mashabiki wa Simba wanataka kusikia nini na yeye anapiga humo humo. Hapa anaweza kuibuka na ajali ya Malone kwamba imepangwà na maadui wa Simba.
Viongozi wa timu za Kariakoo acheni kuwaona mashabiki kama wasiojua kitu Ila ninyi ndo wabobezi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…