MANGUNGU: Niliwaahidi mashabiki wa Simba kuwa tutaifunga Yanga, hivyo hawanidai

Imole

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2021
Posts
1,438
Reaction score
4,053
"Niliwaahidi mashabiki wa Simba kuwa msimu huu lazima tumfunge Yanga na tumemfunga tukafurahi wote, kwenye hilo mashabiki wa Simba Hawanidai"

Murtaza Mangungu Mwenyekiti wa Simba SC

Kuna anayemdai mwenyekiti huko nyuma?

 
Sasa kwani uwongo???si mmekandwa kenge nyie[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mnataka mjifariji kwa lipi sasa?

Kibu dengaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Sasa kwani uwongo???si mmekandwa kenge nyie[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mnataka mjifariji kwa lipi sasa?

Kibu dengaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
tuanapiga hatua mbili na kurudi kumi na kujipongeza [emoji122][emoji122][emoji122]

Haya "Mazuzu oyeeee, mazuzu piga kweyeyeeee"
 
Kwahiyo ma kombe la kumfunga yanga..!! AIsee..!! Kama mwenyekiti lengo lake ni kumfunga Yanga pekee, NO WONDER HAMJABEBA KOMBE HATA MOJA..!!
Na mashabiki wanamsupport hawa mashabiki ndo wanaharibu timu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…