Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Automatic tu , naona Kuna hujuma za waziwazi kabsa, ngungus sio wa kufanya usajili, hana hio hela.Kwann Mkuu
GSM hawezi kuhusika na huo uchafu
Usiingize serikali kwenye mambo ya kinganda ngandaHivi mnaomlaumu Mangungu mna akili kweli?? yeye ndie alichaguliwa wengine wote wanakabidhiana Vyeo kama kugawa pipi,,,Yaani Try Again anaamua tu kusema ooh NAJIUZULU halafu anasema MO arudi aje awe Mkiti wa Bodi hapo hapo Mo anasema TRY AGAIN ni mjumbe wa bodi. BODI IPI??? Mwenyekiti wa Bodi akijiuzulu Bodi inayobaki ni ipi??? Hivi nyie mbona mnatuona sisi mafala sana kama serikali inavyowaona Watanganyika??
Nyie machawa ndio chanzo cha yote haya hata kama mtu huna akili huwezi kuona huo ni utoto? Try again amejihuzuru baade anamteua Mo hio power kaitoa wapi? wakati Mo nae alie teuliwa na mtu alie jihuzuru anateua mtu hapo bado hauoni kuna utata?Kama uelewi unauliza pale simba kuna kampuni mbili zinazounda Bodi ya wakurugenzi, Simba SC na Mo Simba Co Ltd ambapo unapata Simba Sports Club Company Ltd
Mo na Try Again wameteuana kwenye kamapuni yao zi dhambi wala hawajakiuka sheria au katiba
Anakosaje hela wakati anamiliki 51% ya club? Mapato ya Simba yanaigia kwenye account ya nani?Automatic tu , naona Kuna hujuma za waziwazi kabsa, ngungus sio wa kufanya usajili, hana hio hela.
Na wee embu nyamaza. Mdomo mrefu ka nanihii 😠Kumbe mambo hayajaisha? Si wanasema sisi tulikuwa tunazusha jamani Simba iko shwari hakuna shari?
Hizo HISA alizinunua lini? B 20 hazijawekwa kwenye akaunt ya SIMBAUnunuzi wa hisa ndiyo unampa nguvu kwakuwa hadi sasa hajalipia hisa hana uhalali wowote.
Laban yani unafuraha mnoo mnooo I can imagine yaniii... 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 katk watu waliofurahia anguko letu ni wewe mwaisa...yani unakenua tuu..usiku unalala unawaza kesho niandike nini kuhusu Simba...ubwa wewe....Unaanisha Nini mkuu[emoji23][emoji91]
Unafikiri usajili ni gharama, nenda majimaji FC utapata Hadi laki Tano mchezajiDuuu!!
Kumbe Boss Mangungu ana hela ya usajili na hamsemi!
Huyu naye tumpe angalau 20% hisa za Simba atatufaa😎
Wewe kichaa! Sasa hapo mimi nimesema nini na wewe unasema nini! Ebu rudia kusoma tena na tena unioneshe niliposema tofauti na hiyo kauli yako.Hizo HISA alizinunua lini? B 20 hazijawekwa kwenye akaunt ya SIMBA
Hapa Mkuu....hapa penyewe nipo nalia [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Laban yani unafuraha mnoo mnooo I can imagine yaniii... [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] katk watu waliofurahia anguko letu ni wewe mwaisa...yani unakenua tuu..usiku unalala unawaza kesho niandike nini kuhusu Simba...ubwa wewe....