Manhattan, New York: Miss USA 2019, Cheslie Kryst ajiua kwa kujirusha ghorofani

Sasa huyo kajiua
Alafu kama vijisenti vilikuwa
Havimpigi chenga,lkn kajimaliza
Depression ni noma

Ova
Vaswahili pangu pakavu tia mchuzi kifo tunakiogopa huyo mboga saba kakifuata kwa shuruti hapa mara nyingi watuhumiwa wa kwanza huwa ni sheitwan na mdogo wake stress.
 
Hivi kwanini watu wa huko wanamsongo wa mawazo sana mpaka wanapelekea kujiua,haya matukio marekani,ulaya,Japan yamezid sana, na wengi wanafanya hadi therapy na wengine wanatumia ant-depressant drugs,utakuta kijana wa miaka 20 kashaanza kutumia hizi dawa
 
Ni kweli,ila nimejaribu kuwaza tu,ni bora angepiga suicide prevention life line,pengine leo tungekuwa nae
Ila wenzetu wapo next level mpaka sijui prevention life kwa suicide bongo unajinyonga tunakata kamba ,mabanzi ya kutosha na jamhuri anakusubiri
Wabongo tutafika kwa muumba wetu tukiwa totally exousted

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
[emoji28][emoji28][emoji28],Yaani tuna shida,mtu anamatatizo kibao mpaka haoni thamani ya utu wake anaamua kujinyonga,asipofanikiwa eti unamshtaki mahakamani badala la kumsaidia.

Kuna Kamanda mmoja huko Tabora eti alisema anaanzisha doria ya watu wanaotaka kujinyonga ili awakamate,utadhani mtu anayetaka kujinyonga huwa anabadilika rangi[emoji3]
 
Maamaaae zake so atafanya doria au roll call kila mji kujua nani ana malice ya kujinyonga
Hivi vitu bongo vipo chini ya ustawi wa jamii ila sasa implementation ndio shida
Nenda pale fire kwenye kiwanja cha Tanganyika legion uone kinacho endelea
Sad

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Isolation
 
Kuna nini hapo Tanganyika Legion?
 
Daaa so sad a very beautiful lady sijui kwa nini kajiua.But inaomyesha hakuwa na mtu wa karibu wa kumwelezea hali aliyokuwa anapitia. May her soul rest in peace
 
Izi stress zinazofanya mpaka mtu anajiua zinakua stress za Nini hasa nashindwa kuelewa kabisa R.I.P
 
Stress za bongo ni umasikini,njaa na mbususu [emoji23][emoji23][emoji26] Babu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…